simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Wakata Taarifa ya Chanel ten leo sa 1 na Ile ya ITV Sa 2 usiku zikiripoti uwepo wa mgomo wa madaktari, katika hospitali ya Mhimbili, Bugando etc. TBC Wametoa pongezi kwa madaktari kuitikia tamko la serikali kuwataka kuachana na mgomo na kutii kwa kuendelea na kazi leo. Hivi kweli upotoshaji huu si kuvicha kidonda kibichi hivi kikioza nani wa kulaumiwa. I hate TBC 1. Taarifa za uhakika ni kuwa mgomo umeanza rasmi leo