Huyu mshana hana lolote aliwanyanyasa sana waandishi wa habari alipokuwa maelezo,akiwapendelea baadhi na wengi akiwabania sasa kupewa hiyo TV ndio kabisaa anaendeleza kitabia chake hicho anadhani atakaa hapo milele,ammulize Tido alidhani kafika wakamla kichwa,mwenye CV yake tafadhali tusije mlaumu kumbe ni kilaza tu.