Elections 2010 TBC wajitetea

Taso

JF-Expert Member
Jun 12, 2010
2,445
2,268
Marina Hassan, Tiddo Mhando etc. wako hewani wakijetetea jinsi walivyo cover kampeni huku wakivishambulia vyama. Tukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na CHADEMA kukiuka makubaliano yao na TBC kwamba wasikashifu mtu kwenye hotuba zao, na hivyo walilazimika kutoka hewani. CHADEMA wakapata taarifa hapo uwanjani kwamba TBC wametoka hewani na Marina Hassan ndio huyo hapo kachomoa waya. Ikabidi CHADEMA watake kumwadabisha hadi polisi walipomnusuru. Marina anadai siku hiyo alilia machozi zaidi kwa kuwa alitukanwa ya nguoni.

Swali: Wao TBC wamekua ni NEC au Kamanda Kova wanaotoa vibali vya mikutano mpaka wavipe vyama masharti nini cha kusema? Pinheads!

Narudia rai ya Freeman Mbowe aliyoitoa siku Marin Hassan alipotaka kuchapwa:
“ Nawaonya TBC kwamba wanalipwa na kodi yetu wananchi maskini, na siku wananchi wakichoka hakuna jeshi litakaloweza kuwazuia.”
 
Naamini Marini hastahili kukaa Dar. Inabidi atafutiwe sehemu za kuishi kwingineko, hatufagilii pumba na elimu zisizo mishiko
 
Kwa ukweli MUNGU atawalipizia mabaya waliyowafanyia Watanzania. Najua mioyoni mwao wanajua ukweli ni upi na wanatakiwa wafanyeje lakini hawakutaka kutenda haki na kufanya kile cha kweli walichotakiwa kukifanya. MUNGU waonyeshe watu hawa kuwa "WEWE NI MUNGU"!
 
la TBC tushaliweka kando..soon menejiment iabadilishwa ama ikibidi shirika libinafsishwe tu apewe mdau anayeweza kufuata maadili ya uanahabari
 
Achana nao nadhani mioyo imewauma hadi wameamua kuwa washing maniacs!
Huyu TIDO MHANDO pamoja na kukaa BBC naona alirudi na kumbukumbu ya mambo yale yale alitoyaacha miaka ya 1970 ya kuwalamba watawala ******. Labda pensheni yake ya BBC haitoshi anaganga njaa. Heshima yake imeshuka mno katika miwani yangu. Iko siku CCM itaanguka sijui atajificha wapi? Amefanya TBC kuwa sawa na Radio Uhuru au gazeti la Uhuru vyote mali ya CCM. Dandahead TIDO MHANDO. You can delay change but you can't prevent change.
 
nawachukia na kuwalaani wote wanaowasaidia mafisadi wakiwemo Tido na Marin

"... wao wana pesa, sisi tuna Mungu .. " (Godbless Lema, MP)
 
Tido na Marine Hassan wana ushabiki wa kijinga. Hata ukiona mijadala yao na maswali yako ni leading questions not hard hitting questions hasa wanapokuwa na mijadala na makada wa CCM. They are not impartial at all.
 
Marina Hassan, Tiddo Mhando etc. wako hewani wakijetetea jinsi walivyo cover kampeni huku wakivishambulia vyama. Tukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na CHADEMA kukiuka makubaliano yao na TBC kwamba wasikashifu mtu kwenye hotuba zao, na hivyo walilazimika kutoka hewani. CHADEMA wakapata taarifa hapo uwanjani kwamba TBC wametoka hewani na Marina Hassan ndio huyo hapo kachomoa waya. Ikabidi CHADEMA watake kumwadabisha hadi polisi walipomnusuru. Marina anadai siku hiyo alilia machozi zaidi kwa kuwa alitukanwa ya nguoni.

Swali: Wao TBC wamekua ni NEC au Kamanda Kova wanaotoa vibali vya mikutano mpaka wavipe vyama masharti nini cha kusema? Pinheads!

Narudia rai ya Freeman Mbowe aliyoitoa siku Marin Hassan alipotaka kuchapwa:
" Nawaonya TBC kwamba wanalipwa na kodi yetu wananchi maskini, na siku wananchi wakichoka hakuna jeshi litakaloweza kuwazuia."

ni oto ndo unaweza kumtukana akalia, nie, nilifikiri hicho ni kipara cha busara kumbe ni bure, ni dhahiri alijua mauti yalimemfika si ajabu alitoa WILL yake:A S angry:
 
T
ukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na CHADEMA kukiuka makubaliano yao na TBC kwamba wasikashifu mtu kwenye hotuba zao, na hivyo walilazimika kutoka hewani.
Kiongozi kutuhumiwa ufisadi siyo tusi...............Sasa vyama vya siasa visipowafahamisha wapigakura matatizo na changamoto za kuendesha nchi haya yote tutayajuaje? Tutawezaje kuchagua viongozi wazuri kimya kimya?
 
Marina Hassan, Tiddo Mhando etc. wako hewani wakijetetea jinsi walivyo cover kampeni huku wakivishambulia vyama. Tukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na CHADEMA kukiuka makubaliano yao na TBC kwamba wasikashifu mtu kwenye hotuba zao, na hivyo walilazimika kutoka hewani. CHADEMA wakapata taarifa hapo uwanjani kwamba TBC wametoka hewani na Marina Hassan ndio huyo hapo kachomoa waya. Ikabidi CHADEMA watake kumwadabisha hadi polisi walipomnusuru. Marina anadai siku hiyo alilia machozi zaidi kwa kuwa alitukanwa ya nguoni.

Swali: Wao TBC wamekua ni NEC au Kamanda Kova wanaotoa vibali vya mikutano mpaka wavipe vyama masharti nini cha kusema? Pinheads!

Narudia rai ya Freeman Mbowe aliyoitoa siku Marin Hassan alipotaka kuchapwa:
" Nawaonya TBC kwamba wanalipwa na kodi yetu wananchi maskini, na siku wananchi wakichoka hakuna jeshi litakaloweza kuwazuia."

Samahani mkuu naomba ufafanuzi juu ya hii signature yako hapa chini Ufisadi ni sera rasmi ya tabaka tawala, kwa hiyo hata hawa tuliowaweka madarakani sasa hivi, kwa ajili tulichoshwa na ufisadi wakishaingia madarakani ufisadi ndo itakuwa sera yao? Samahani kutoka nje ya mada.
 
Aleluyah!

Ccm wanapaswa kujua

Ni haki yetu kujua makosa yanayotendwa na viongozi wetu na isije ikaonekana kuwa dr. Slaa anatenda dhambi kuyaweka bayana. Hii itawasaidia nao kutubu!

Amani haiji ila ka ncha ya upanga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Dr slaa wa mobilIze watu kama ilivyo kuwa kule Arusha, Mwanza na Dar tUkadai haki kama kweli unahakika kura zimechakachuliwa na unazo evidence. Kila jimbo tuandamane kwa wakati mmoja nchi nzima. Na TBC mjiandae kuchukua picha na taarifa kamili.
Tumechoka kuburuzwa kama magunia jamani, Mungu awabariki nyote, Mpe Dr. Slaa Nguvu na Hekima ya kupambana na haya yote. Amen!
 
...Mimi ninashangaa leo asubuhi walivyomaliza matangazo yao ya matokeo ya Uchaguzi kwa mbwembwe wakati wanajua kuwa kuna majimbo mengi tu bado hayajatangaza matokeo. wasitufanye wajinga. Hii ni kucheza na saikolojia ya watu kuwa uchaguzi umekwisha wakati watawala wao wakiendelea kuchakachua matokeo ya kulikobaki. Hii ni TV inayolipiwa na Kodi za Wananchi. ILitakiwa kuendelea kutoa matokeo ya majimbo hadi jimbo la mwisho. Tido chunga, Yana mwisho haya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom