Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
Leo TBC Wameanza rasmi vipindi mfululuzo vya kuwaandaa wananchi kuyakubali matokeo....kwa mtu aliyesomea mawasiliano atagundua pia kuwa kampeni yao inahusisha kuonesha image mbovu kwa vyama vya upinzani hususani CHADEMA ,...ila inaonekana wanaonekana kuiinua CUF JUU!!
Kipindi cha VIMBWANGA VYA UCHAGUZI kimeanza kikiendeshwa na waandishi akiwemo MARINE HASSAN ...wameonesha vyama viwili tu namna mikutano yao ilivyokuwa CUF na CCM.
Kinafuatia kipindi cha suzy mongy kinaitwa HAIKUWA RAHISI....nacho malengo na maudhui ni hayo hayo.....na vipindi na makala hizi zitaendelea hadi jumamosi....
Ni wazi kuwa huu ni mpango mahsusi wa kuwavunja moyo watu wa bara ...kuwa chama wanachokiunga mkono ..si lolote.....
Tunayo safari ndefu...!!
Kipindi cha VIMBWANGA VYA UCHAGUZI kimeanza kikiendeshwa na waandishi akiwemo MARINE HASSAN ...wameonesha vyama viwili tu namna mikutano yao ilivyokuwa CUF na CCM.
Kinafuatia kipindi cha suzy mongy kinaitwa HAIKUWA RAHISI....nacho malengo na maudhui ni hayo hayo.....na vipindi na makala hizi zitaendelea hadi jumamosi....
Ni wazi kuwa huu ni mpango mahsusi wa kuwavunja moyo watu wa bara ...kuwa chama wanachokiunga mkono ..si lolote.....
Tunayo safari ndefu...!!