Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Rais mteule Hakainde Hichilema. Jana Amelihutubia Taifa na kusema Yafuatayo
TV ya TAIFA haikuonyesha MIKUTANO ya UPINZANI
Msipoyaonyesha Watazamaji Watapungua
Watazamaji Wakipungua hamtapata Matangazo
Mkikosa Matangazo Mtakufa na Mtafunga
Mwisho Akawaomba Wafuasi Wake WASILIPE VISASI
TBC Tanzania BADILIKENI hiyo ni TELEVISHENI ya TAIFA VYAMA vyote Vina HAKI Sawa kwani Wanachama na Wafuasi Wao WANALIPA KODI KODI hailipwi na Wanachama na Wafuasi wa CCM tu
TBC BADILIKENI
Hongera sana Rais Mteule kwa UJUMBE
TV ya TAIFA haikuonyesha MIKUTANO ya UPINZANI
Msipoyaonyesha Watazamaji Watapungua
Watazamaji Wakipungua hamtapata Matangazo
Mkikosa Matangazo Mtakufa na Mtafunga
Mwisho Akawaomba Wafuasi Wake WASILIPE VISASI
TBC Tanzania BADILIKENI hiyo ni TELEVISHENI ya TAIFA VYAMA vyote Vina HAKI Sawa kwani Wanachama na Wafuasi Wao WANALIPA KODI KODI hailipwi na Wanachama na Wafuasi wa CCM tu
TBC BADILIKENI
Hongera sana Rais Mteule kwa UJUMBE