Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Maelezo yako hayajibu hoja yangu, unless uniambie tu kwamba vidole vinakuwasha kutype.TBC ni jina tu lakini ni ya magamba, hawawezi kuonyesha mambo ya arumeru mashariki, na hapo bado subiri muone vituko magamba
watakapogalagazwa within 12 hours from now, ndo tutapigiwa za yule bi shoct 'muogo wa jang'ombe sitaulamba mwiko............
Hiyo ndo TBC yetu bana mkitaka kujuaga zaidi mtafuteni D.T. Mando.