MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Nilikuwa naangalia television yetu ya taifa ya TBC ,mara wakajiunga moja kwa moja na balozi wetu aliyeko Sweden ndg Wilbrod Slaa na kuongea nae live ambapo alikuwa anaelezea mkutano mkubwa wa diaspora wanaokaa nchi za Scandinavia utakaofanyika weekend.
Wadau huwa ni vigumu sana kurusha matangazo ya moja kwa moja mf kutoka bungeni, lkn TBC wameweza kurusha moja kwa moja kutoka maelfu ya kilometers tena kwa usikivu wa hali ya juu.
CNN, SABC, GCHN, BBC, SKY NEWS, AL JAZEERA, DW and all the majors here we are coming.
lusungo Copenhagen DN.
Povu ruksa lkn liwe la sabuni ya unga
Wadau huwa ni vigumu sana kurusha matangazo ya moja kwa moja mf kutoka bungeni, lkn TBC wameweza kurusha moja kwa moja kutoka maelfu ya kilometers tena kwa usikivu wa hali ya juu.
CNN, SABC, GCHN, BBC, SKY NEWS, AL JAZEERA, DW and all the majors here we are coming.
lusungo Copenhagen DN.
Povu ruksa lkn liwe la sabuni ya unga