Naomba msaada wakuweza kuona TBC kupitia cim yangu iphone 4 or android phone nasikia kunavituko vya bunge sina mda kukaa kwenye computer au kutembea na laptop kwa mda wote..naomba procedure namna ya kufanya ili niweze kuona online.,,
kwa nini isiwezekane?kama huko bongo sijui ila kama huko huko nchi za ulimwengu wa kwanza ni jambo lakiwaida..nangalia channel kibao kupitia cim yangu online muhimu kuwe na fastest internet access through 3G,4G or wi-fi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.