kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
TBC MNI WAHUNI!!!! siku ile baada ya kutoka Zanzibar kwenye maadhimisho ya mapinduzi yao wakarudisha studio na kuweka mapicha ya shida za wakimbizi. WAKATI HUO HUO MASHUJAA WETU WALIKUWA WANAAGWA aRUSHA. craaaaaaaaaaaaaaaaapppppppppp!.
WANADHANI WATANZANIA WA SASA HIVI WALIOBANIKA NA MAAMUZI YAO wanaogopa risasi kama wale wa enzi za Mrema?another big craaaaaaaaaaaaaaaappppppppp!
WANADHANI WATANZANIA WA SASA HIVI WALIOBANIKA NA MAAMUZI YAO wanaogopa risasi kama wale wa enzi za Mrema?another big craaaaaaaaaaaaaaaappppppppp!