Ronee
Senior Member
- Jun 1, 2018
- 156
- 155
Kipindi hiki kilibuniwa ili kuwasaidia wanafunzi ktk likizo yao ya muda mrefu iliyosababishwa na mlipuko wa janga la virusi vya corona.
Janga ni kama limeisha, wanafunzi washarejea mashuleni. huko mashuleni wanafunzi wako bize na waalimu wao kutekeleza ratiba za kila siku, na sidhani kama kuna utaratibu wa kuwawekea wanafunzi TV nyakati za vipindi.
Nauliza, je ninyi mnamfundisha nani? Kama mmeamua kutukumbushia wazazi enzi zetu tukiwa shule sina tatizo na hilo japo sidhani kama tunahitaji huo ukumbusho! Tena bora kipindi kingekuwa kinaenda hewani nyakati za usiku tungesema ni kwa faida ya wanafunzi wa kutwa.
Janga ni kama limeisha, wanafunzi washarejea mashuleni. huko mashuleni wanafunzi wako bize na waalimu wao kutekeleza ratiba za kila siku, na sidhani kama kuna utaratibu wa kuwawekea wanafunzi TV nyakati za vipindi.
Nauliza, je ninyi mnamfundisha nani? Kama mmeamua kutukumbushia wazazi enzi zetu tukiwa shule sina tatizo na hilo japo sidhani kama tunahitaji huo ukumbusho! Tena bora kipindi kingekuwa kinaenda hewani nyakati za usiku tungesema ni kwa faida ya wanafunzi wa kutwa.