Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, hivyi kweli mnaielewa TBC esp ratiba zao za kuonesha mechi kila jumamosi? Maana kila inapofikia mechi ya Man U basi siku hiyo hawataonesha LIKE WISE kwa wenzao ITV n Radio 1 wamegoma kabisa kuonesha mechi za Simba au hata kutoa habari zozote za Simba... Hii ni sahihi kweli?
Maoni jamani n wala tusijenge chuki.
Maoni jamani n wala tusijenge chuki.