TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

basi ile kipindi cha asubuhi cha kuhojiana anaeulizwa kasinzia na mtangazaji kasinzia yaani wameechoka sijui huwa wanaendaga kupiga pushup ndio wanakuja kutangaza
 
Utangazaji ni kipaji na sio mavyeti tu..hawashangai clouds media wanaendelea kuwa relevant kwa kiasi fulani kutokana na kuweka watu wenye vipaji na sio tu degree ya mass communication na journalism..

Sehemu ukishajazaa wazee wengi hata ubunifu unakuwa hamna..refer taasisi nyingi za serikali kama Ttcl na nyingine..

na wewe nae clouds ndio ovyooo bora hata TBC miziki saa zote kusoma magazeti 360 wanaongea sana mpaka wana boa
 
mimi tbc naipenda kwa sababu ya hotuba ya rais huwa nazipenda sana sana kuna kucheka kuna kuona ukweli hapo kwa hapo amaizing ni raha san
 
Muda huu nilijaribu kutazama taarifa ya habari kupitia TBC inayopatikana kwenye king'amuzi Cha Dstv


Picha zinazorushwa na TBC ni za viwango duni mno mno mno

Najiuliza sana mara kwa mara huwa tunaona na kusikia serikal ya China imetoa msaada wa vifaa kwenye kituo hiki Cha runinga kinachomilikiwa na serikali
Hivi misaada Ile ya vifaa huwa ni vifaa gani haswa vinavyoingiza hadi muonekano wa picha za television ya taifa uwe mbaya kiasi kile

Rais anaposema nchi hii ni TAJIRI huwa anamaanisha nini ikiwa vitu vidogo Kama hivi tunashindwa kuvitafutia ufumbuzi
Nashauri TBC iache Mara moja kufungua matawi mapya kwanza wajirekebishe kwa kasoro kama hizi

Tbc licha ya kuwa na vipindi vibaya lakin pia hata muonekano ni mbaya sana video zenu mbaya mbaya mbaya
leo tarehe 8-10-2019 wamemhujumu Ayubu Ryoba, yaani wamenunua makamera feki, raisi anaonekana kama mkaa, ila ukiangalia ITV ipo HD, naamini hata watu wa ikulu wanafuatlia kupitia ITV alafu kuna mtu anajiita dokta yupo tu ofisini, sijui Ryoba, si bora wamrudishe yule waliyempleleka ikulu?

magufuli akiangalia hakiyanani anamtumbua DG usiku wa manane.
HAKUNA MPIGA PICHA WA KUMLAUMU MAANA MAKAMERA YA KIZAMANI, TENDA INATOKA KINDUGU NA wanamhujumu, rais, hasa DG.
 
leo tarehe 8-10-2019 wamemhujumu Ayubu Ryoba, yaani wamenunua makamera feki, raisi anaonekana kama mkaa, ila ukiangalia ITV ipo HD, naamini hata watu wa ikulu wanafuatlia kupitia ITV alafu kuna mtu anajiita dokta yupo tu ofisini, sijui Ryoba, si bora wamrudishe yule waliyempleleka ikulu?

magufuli akiangalia hakiyanani anamtumbua DG usiku wa manane.
HAKUNA MPIGA PICHA WA KUMLAUMU MAANA MAKAMERA YA KIZAMANI, TENDA INATOKA KINDUGU NA wanamhujumu, rais, hasa DG.
Inauma sana..
 
Nimeshindwa Kushangaa
Tatizo Hata Halisemwi Iwapo Ni Ujuzi Ama Nini
Viongozi Wapo, Kuibadili Television Hakuna
YaaniAjabu Sana
TBC Imepigiwa Chapuo Kuonekana Kwenye Visimbusi Vyote Bure Ila Hata Mvuto Haina Yaani Kwisha


Sijui Labda Tuseme Wanaweza Nini?
Live Coverage Matangazo Yatakatika Mpaka Aibu
...taratibu Bro. Tujitahidi kufichiana siri Za Taifa. Aibu yetu aibu yako!
 
Inauma sana..
Ndio maana Hata Bashite, na hata Magufuli mwenyewe huwa wanaangalia ITV na Clouds,hata press za Makonda huwa anapendelea ITV.
Nchi nyingine wananchi wangeandamana kushinikiza DG wa TBC atoke mana TBC ni chombo cha wanyonge wasioweza kulipia dstv.
 
Nimeshindwa Kushangaa 😏🤔🤨
Tatizo Hata Halisemwi Iwapo Ni Ujuzi Ama Nini
Viongozi Wapo, Kuibadili Television Hakuna
YaaniAjabu Sana 😶🙂
TBC Imepigiwa Chapuo Kuonekana Kwenye Visimbusi Vyote Bure Ila Hata Mvuto Haina Yaani Kwisha


Sijui Labda Tuseme Wanaweza Nini?
Live Coverage Matangazo Yatakatika Mpaka Aibu
Wanarusha sijui kwa internet ya simu? tena tecno, yaani ukimuangalia mh Magufuli halali alafu mijitu ipo kwenye AC na kutembelea ma VX na hayafanyi kitu, inauma sana,
 
Teknologia isiwaache, endesheni vipindi kwa teknologia ya karine hii na vipindi viendane na karine hii bila kutoka kweny maadili mema!!
 
Ushauri mzuri kwa wachangiaji
Na anaekisimamia chombo huko nguli kwenye tasnia ya Habari nchini kwetu na tbc ni chombo cha Habari cha watanzania
Wewe ndio umechanganyikiwa tu. Lengo la Kipindi hulijui hivyo waache waendelee. Kumbuka haulizwi mtu mmoja swali hilo kila mara. Huulizwa watu mbalimbali na kila mmoja hujibu kivyake.
Kwanza watu wenye akili kama zako mliisha jikataza kuiangalia TBC kilichokupeleka kwenye hayo maudhi ni nini?
Kumbe TBC ni kama maji usipoyanywa utaogea au kufulia
 
Ushauri mzuri kwa wachangiaji
Na anaekisimamia chombo huko nguli kwenye tasnia ya Habari nchini kwetu na tbc ni chombo cha Habari cha watanzania
Wewe ndio umechanganyikiwa tu. Lengo la Kipindi hulijui hivyo waache waendelee. Kumbuka haulizwi mtu mmoja swali hilo kila mara. Huulizwa watu mbalimbali na kila mmoja hujibu kivyake.
Kwanza watu wenye akili kama zako mliisha jikataza kuiangalia TBC kilichokupeleka kwenye hayo maudhi ni nini?
Kumbe TBC ni kama maji usipoyanywa utaogea au kufulia
 
Muda huu nilijaribu kutazama taarifa ya habari kupitia TBC inayopatikana kwenye king'amuzi Cha Dstv


Picha zinazorushwa na TBC ni za viwango duni mno mno mno

Najiuliza sana mara kwa mara huwa tunaona na kusikia serikal ya China imetoa msaada wa vifaa kwenye kituo hiki Cha runinga kinachomilikiwa na serikali
Hivi misaada Ile ya vifaa huwa ni vifaa gani haswa vinavyoingiza hadi muonekano wa picha za television ya taifa uwe mbaya kiasi kile

Rais anaposema nchi hii ni TAJIRI huwa anamaanisha nini ikiwa vitu vidogo Kama hivi tunashindwa kuvitafutia ufumbuzi
Nashauri TBC iache Mara moja kufungua matawi mapya kwanza wajirekebishe kwa kasoro kama hizi

Tbc licha ya kuwa na vipindi vibaya lakin pia hata muonekano ni mbaya sana video zenu mbaya mbaya mbaya
watajirekebisha, nahisi MAGUFULI KAAMUA KUMFUNGIA MACHO MKUU WAO PALE KAMA ALIVYOFANYA KWA DAUDI ALBERT BASHITE
 
Anaingalia sana na sifa anawamwagia kila mara uingalii utajuje kama anaangalia TBC oyeee!!!
leo tarehe 8-10-2019 wamemhujumu Ayubu Ryoba, yaani wamenunua makamera feki, raisi anaonekana kama mkaa, ila ukiangalia ITV ipo HD, naamini hata watu wa ikulu wanafuatlia kupitia ITV alafu kuna mtu anajiita dokta yupo tu ofisini, sijui Ryoba, si bora wamrudishe yule waliyempleleka ikulu?

magufuli akiangalia hakiyanani anamtumbua DG usiku wa manane.
HAKUNA MPIGA PICHA WA KUMLAUMU MAANA MAKAMERA YA KIZAMANI, TENDA INATOKA KINDUGU NA wanamhujumu, rais, hasa DG.
 
Kila nikifungua TBC either kuna live covarage au kina kipindi maalumu ya Kusifia. Je vipindi vingine vimefutwa? Ili nihame kabisa hata niwe naangali UTV.
 
Kila nikifungua TBC either kuna live covarage au kina kipindi maalumu ya Kusifia. Je vipindi vingine vimefutwa? Ili nihame kabisa hata niwe naangali UTV.
TV ya Taifa hiyo inapaswa kuonesha vitu vya kitaifa na maendeleo huku ikitunza utamaduni wa kitanzania.

Hakika wanafanya kazi nzuri sana kuwaelimisha watanzania na kuonesha maendeleo wanayoletewa na serikali yao

Pongezi kwenu TBC1
 
Back
Top Bottom