Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Kwa hiyo ID yako lazima uipende ccm
Huwa wanatazama sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanatazama sana
Mbona unakuwa mjinga kiasi hiki? Unalazimishwa kuangalia?mpuuzi wewe kodi unalipa wewe na huyo kichaa wako tu. tunaangalia tukiwa kwenye ofisi za wajinga kama wewe
Mkuu kuna mazingira yanakulazimu..kama kuishiwa kifurushi,kutembelewa na wazee home mana wanajua taarifa nzuri ni tbc...au kutazama kupitia runinga za taasisi za umma.Na Mimi namshangaa!! Alipataje muda wa kuangalia TBCommedy kwa angalau dk5?
Wewe ndio umechanganyikiwa tu. Lengo la Kipindi hulijui hivyo waache waendelee. Kumbuka haulizwi mtu mmoja swali hilo kila mara. Huulizwa watu mbalimbali na kila mmoja hujibu kivyake.machinga smart huyu dogo sijui kwamba hata alisoma, anauliza maswali ya kipuuzi kabisa.
wanauliza swali lilelile tuuu. "nini mchango wa mwalimu nyerere katika utalii" liliulizwa mwakajana na mwaka huu pia
Hamna weledi kabisa
Aisee una roho ngumu sana, unawezaje kutazama huo uchuro?machinga smart huyu dogo sijui kwamba hata alisoma, anauliza maswali ya kipuuzi kabisa.
wanauliza swali lilelile tuuu. "nini mchango wa mwalimu nyerere katika utalii" liliulizwa mwakajana na mwaka huu pia
Hamna weledi kabisa
PrtlepthglUvccm
If to Liu I xUvccm
Onyesheni mechi za ligi kuu Tanzania. Kwani platform yenu ni kubwa. Tungependa kuona local talents.Sijui sheria zikoje maana nasikia Azam anaonyesha
Mm ningeshauri mjitenge na upendeleo wa kisiasa vyama vyote ni vya tanzania mjitoe kwenye biasness ya uccm TBC ni ya watanzania wote na si ya Chama kingine mpende kuutangaza ukweli hata kama haumfuraishi mtukufu flani la mwisho ni muwe na utaratibu wa kuweka records na kuzifuatilia especially za ahadi za uchunguzi unaendelea tutawafahamisha za jeshi la polisi
Usijali, Mheshimiwa sasa haitaji watu wanaojipendekeza, watanyoshwa tu!
Jana nilikuwa kijijini nikaingia kwenye bar flani hapo ndo kuna chakula,nikakuta kuna TBC kipindi cha Mc Pilipili eti comedy!TBC hata mkipewa CNN muiendeshe ndani ya wiki 2 tu itakuwa haina watamazaji.
Muulizeni Tido Mhando alikuwa akifanyaje? Ondoeni upupu wenu humu.