Hajapotosha huo ndio ukweliHaiwezekani ccm wanayo yakwao chanelten,TBC 1 ya serikali toa mapendekezo kipi kifanyike acha kupotosha watu au kupoteza maana ya huu ukurasa
Leta ushahidi wapi ccm inamiliki TBC 1? Acha kulaghai wasiojua lolote humu leta vielelezoHajapotosha huo ndio ukweli
TBC ndio kituo pekee kwa sisi wenye akili zetu tunaangaliaSijaona tusi, naona wewe ndiyo unaleta kujipendekeza!
Muda huu nilijaribu kutazama taarifa ya habari kupitia TBC inayopatikana kwenye king'amuzi Cha Dstv
Picha zinazorushwa na TBC ni za viwango duni mno mno mno
Najiuliza sana mara kwa mara huwa tunaona na kusikia serikal ya China imetoa msaada wa vifaa kwenye kituo hiki Cha runinga kinachomilikiwa na serikali
Hivi misaada Ile ya vifaa huwa ni vifaa gani haswa vinavyoingiza hadi muonekano wa picha za television ya taifa uwe mbaya kiasi kile
Rais anaposema nchi hii ni TAJIRI huwa anamaanisha nini ikiwa vitu vidogo Kama hivi tunashindwa kuvitafutia ufumbuzi
Nashauri TBC iache Mara moja kufungua matawi mapya kwanza wajirekebishe kwa kasoro kama hizi
Tbc licha ya kuwa na vipindi vibaya lakin pia hata muonekano ni mbaya sana video zenu mbaya mbaya mbaya
Hongera zije kwako mkuuHongera ziende kwa nani sasa
Bongo ni Chanel gani picha na sauti iko bora?Muda huu nilijaribu kutazama taarifa ya habari kupitia TBC inayopatikana kwenye king'amuzi Cha Dstv
Picha zinazorushwa na TBC ni za viwango duni mno mno mno
Najiuliza sana mara kwa mara huwa tunaona na kusikia serikal ya China imetoa msaada wa vifaa kwenye kituo hiki Cha runinga kinachomilikiwa na serikali
Hivi misaada Ile ya vifaa huwa ni vifaa gani haswa vinavyoingiza hadi muonekano wa picha za television ya taifa uwe mbaya kiasi kile
Rais anaposema nchi hii ni TAJIRI huwa anamaanisha nini ikiwa vitu vidogo Kama hivi tunashindwa kuvitafutia ufumbuzi
Nashauri TBC iache Mara moja kufungua matawi mapya kwanza wajirekebishe kwa kasoro kama hizi
Tbc licha ya kuwa na vipindi vibaya lakin pia hata muonekano ni mbaya sana video zenu mbaya mbaya mbaya
Mie naangalia kila siku, wewe unaangalia Chanel gani?Hivi kuna watu bado wanaangaliaga hii Chanel!.....