Dagagekyeulalwe
Member
- Sep 24, 2014
- 41
- 37
Ukweli kwenye orodha ya channel ya kisimbuzi changu TBC niliifuta kabisa. Ni TV ya serikali lakin wanarusha habari za Mlango flani hivi.
Pia sahizi wana safari channel toka ianzishwe wanarudia vipindi vile as if wameweka mkanda Wa VHS, kama lengo ni kutangaza utalii basi kuweni wabunifu. Nashindwa kuelewa vijana wanafanya nini pale zaidi ya kutangaza Mpira.
Jifunzeni, elimikeni, badilikeni muendane na wakati. Onesheni ukongwe wenu sio mbaya mkajifunze AZAM MEDIA Kwa Tido
Pia sahizi wana safari channel toka ianzishwe wanarudia vipindi vile as if wameweka mkanda Wa VHS, kama lengo ni kutangaza utalii basi kuweni wabunifu. Nashindwa kuelewa vijana wanafanya nini pale zaidi ya kutangaza Mpira.
Jifunzeni, elimikeni, badilikeni muendane na wakati. Onesheni ukongwe wenu sio mbaya mkajifunze AZAM MEDIA Kwa Tido