TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

angalia channel ten ndo wamehaidiwa kupewa M200 watakuwa wamefanya marekebisho mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Milioni 200 ela ndogo sana kufanya mabadiliko..juzi Kati chuoni udsm DEPARTMENT tulipewa mil 100 kufanya marekebisho na manunuzi ya vfaa vya mAzoezi Kama Kama kamera,,mic, na stand..hela haikutosha Sana Sana wamenunua kamera 5 ..na Bado uhaba Ni uleule..
Kwhyo m 200 too little to ensure Chanel ten ama TBC zinakwa za kisasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni 200 ela ndogo sana kufanya mabadiliko..juzi Kati chuoni udsm DEPARTMENT tulipewa mil 100 kufanya marekebisho na manunuzi ya vfaa vya mAzoezi Kama Kama kamera,,mic, na stand..hela haikutosha Sana Sana wamenunua kamera 5 ..na Bado uhaba Ni uleule..
Kwhyo m 200 too little to ensure Chanel ten ama TBC zinakwa za kisasa

Sent using Jamii Forums mobile app
aisee inaeleke wamenunua kamera za maana kama
Pentax 645Z
 
Hii TV hata mwaka unaisha sijaangalia chochote maana nadhani ni TV ya chama na hata kama Mimi ni mwanachama wa chama husika haina maana kuwa hitaji langu kubwa ni kuona mambo ya ki chamachama! Kaeni kama kamati fanyieni kazi mawazo ya watizamaji vinginevyo mtakua wa kuwafurahisha vingozi mnaochukua picha zao wakijaribu Ku view waliyofanya huko mtaani kwenye ziara, mna boa mna boa as if kazi hamjasomea kachukuliwa tu na mjomba ' kusoma si unajua tena kiswahili' njoo upige porojo TV na redio zetu zipo, pia cha ajabu kwa miaka hii MTU hawezi kutofautisha R na L unamweka kutangaza TV ya Taifa shame on you, kuahirisha hawezi kutamka unasikia kuhairisha inatia kinyaa cha kutapisha! Mbona zamani hatukusikia uchafu huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo Tbc mpya hii?? Hivi kweli Mwenyekiti wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kupewa dhamana mahakama kuu baada ya kukaa gerezani siku 104 kwenu siyo habari???
Mnatuhubiria uzalendo akati ninyi wabaguzi wa hali ya juu??? Hivi hamjui kwamba mnalipwa mishahara kwa kodi zetu wananchi??? Mmejinenepea tu kama marobota ya mitumba nyambafu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TBC
Ndugu WanaJF,

Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa picha na ubunifu wa vipindi.

Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ni wadau wakubwa wa JamiiForums na huwa wanafuatilia taarifa na mijadala mbalimbali inayoendelea hapa. Hivyo tukiitumia vyema nafasi hii, tutawasaidia kuboresha maeneo ambayo yanatakiwa kurekebishwa kwa haraka.

Naomba tutumie uzi huu kutoa maoni, ushauri na mapendekezo kuhusu aina ya vipindi na ubunifu ambao ukitumiwa utasaidia kuifanya televisheni hii ya taifa kuvutia kutazamwa na kufurahiwa.

Tumeshalalamika sana. Sasa ni wakati wa kuchukua hatua na kutaja suluhu kwa mifano ili kuimaliza changamoto hii kabisa.

Karibuni sana.

TBC ndio nini? Weka picha tafadhali.
 
...
kipindi cha bango mkirekebishe;
- teganisha vifo na taarifa nyingine
-ondoeni ala inayosikika kwa sasa
-ujumbe usomwe kwa sauti
....
 
Back
Top Bottom