TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

shida sio ubunifu shida ni NCHI haina bajeti ya MEDIA zake

haya una ubunifu unautumiaje huo ubunifu wako kama Hupewi FUNGU (pesa)

Tena awamu hiii mpk fedha upewe ufanyie kitu cheque iwe na saini 20

Muda wakufatilia hayo yote wanini? acha mkurugenzi adeal na watu wanaochelewa kazini

na waomba ruhusa
Sikubaliani nawe Media ni chombo ambacho unweza ingiza pesa kama TBC2 kwanini wasingeiweke kibiashara zaidi kuliko kuipigia miziki ujue unaweza kuwa hupewi pesa na baba ila ukauza peya yako moja ya viatu ukapat mtaji ata wa 20000 ukauza nyanya polepole ukajisogeza sasa yeye na PhD yake sioni anachokifanya serikali ina halmashauri nyingi sana kwann asitafute tenda watangaze miradi ya halmashauri mbalimbali tena kwa punguzo LA bei sababu ni chombo cha serikali unaisi asingepata tenda? TBC 2 ipo haina inachofanya
 
Huyu mkurugenzi wa TBC kwakweli amefeli sana kuiboresha iyo televisheni.

Yaani kuna muda unasikia sauti tu picha uhoni kabisa,, acha mambo mengine mengi ya ovyoovyo,, yaan hata WASAFI TV ina ubora kuliko TBC
Sure, tbc imerudi nyuma badala ya kwenda mbele
 
Talent na ubunifu ni pamoja na kuruka viunzi na mageti dogoo....
Hii Ndo hasara ya kuajiri wazee badala ya vijana. Eti kisa wana PHD na Masters huku wenye talent na ubunifu wakichaniwa CV zao getini.
 
TBC stop being one- sided station hapo ndo mnapojikwaa kwann lakini hamjijui jamani? asee kunasiku ing'amuzi changu kiliisha hela ikabaki tbc ha aha ha asee nilijuta kushinda nyumbani
 
Kama una nia kweli ya kuibadirisha TBC. Kwanza iwe idhaa inayojitegemea. Ondokana na kuingiliwa na mtu yoyote (hii ngumu kwenu)
Pili nenda kapate ushauri kwa Tido Mhando
 
Nitatoa ushauri wangu mkikubali kwanza kuwa televisheni ya taifa na sio televisheni ya ccm
 
Kama una nia kweli ya kuibadirisha TBC. Kwanza iwe idhaa inayojitegemea. Ondokana na kuingiliwa na mtu yoyote (hii ngumu kwenu)
Pili nenda kapate ushauri kwa Tido Mhando
Kwahiyo taasisi ya serikali ikijitegemea ndio itakuaje? BBC bado selikari yao inaendesha 100%
 
Kwahiyo taasisi ya serikali ikijitegemea ndio itakuaje? BBC bado selikari yao inaendesha 100%
Hujaielewa sio kujitegemea kwa serikali kuondoka kuiendesha. Umeona ilivyo BBC? Hata kiongozi yoyote akikosea anazungumziwa kwa uwazi kabisa. Na anahojiwa maswali mazijo kbs na BBC (Ndivyo ilivyokuwa TBC ya Mhando). (Sivyo ilivyo TBC ya kuambiwa na wanaoiendesha kipi cha kuwekwa wazi na kipi achana nacho-hata kama kina manufaa kwa Taifa. Lakini kwa maslahi ya wachache itaambiwa hiki acha,utagusa watu fulani. Ijiendeshe yenyewe kwa namna ya habari za kiuchunguzi izilete kama ilivyozichunguza,sio mpaka tena watake watu fulani nje ya chombo chenyewe
 
Huyu mkurugenzi wa TBC kwakweli amefeli sana kuiboresha iyo televisheni.

Yaani kuna muda unasikia sauti tu picha uhoni kabisa,, acha mambo mengine mengi ya ovyoovyo,, yaan hata WASAFI TV ina ubora kuliko TBC
Toa pendekezo, atumbuliwe asitumbuliwe?
 
Dhifa nyingi za kitaifa hurushwa na TBC mtandaoni ila Sina uhakika kama wahusika wanajua kuwa RTD analog ya enzi hizo ilikuwa bora kabisa kuliko TBC mtandaoni ambayo binafsi naona inazidiwa na tu TV online twingi twa watu binasfsi . Nashauri iboreshwe maana inaboa kuangalia mara haina sauti ,mara picha hazionekani Sina jibu kama hawa watu binafsi wanaweza zidi TBC kwa umaridadi
 
Back
Top Bottom