Leo katika taarifa ya habari ya tbc wametangaza tukio la jaribio la ulipuaji ndege ambapo undercover agent mmoja wa saudi arabia alikwenda yemen na kujiunga na kikundi cha alqaeda, walichotangaza tbc ni tofauti kabisa wakidai mnijeria aliyekamatwa mwaka 2009 kuwa alikuwa double agent wa cia, huo ni uwongo uwongo, uwongo, uwezo wa waandaaji wa news ni mdogo sana, sijui tatizo ni lugha au uvivu?