MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Hivi TBC Kama chombo cha umma kujaribu kumpigia debe Muhongo "eti wananchi wa Lindi wamepeleka ombi maalum kwa JK" ni sawa?
Naomba TBC wajue Kuwa wananchi hawako Lindi tu hata Dsm kuna watanzania, Moro kuna watanzania, Mbeya na kwingineko kote kuna watanzania na wengi wetu tunaunga mkono maazimio ya bunge!
Hakuna maana yoyote kwa chombo cha umma kumtetea mtu mmoja mtuhumiwa wa kutumia vibaya madaraka.
Naomba TBC wajue Kuwa wananchi hawako Lindi tu hata Dsm kuna watanzania, Moro kuna watanzania, Mbeya na kwingineko kote kuna watanzania na wengi wetu tunaunga mkono maazimio ya bunge!
Hakuna maana yoyote kwa chombo cha umma kumtetea mtu mmoja mtuhumiwa wa kutumia vibaya madaraka.