MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Hawa TBC saa ingine huwa nashindwa kuwaelewa. Mara kwa mara huwa nawasikia wakisema wanaonekana kwa njkia ya setelaiti hadi nchi za magharibi za marekani na ulaya n.k.
Ila inaonekana waandaaji wa taarifa ya habari hawako makini na baadhi ya vitu.
kwa mfano leo wakati wanasoma taarifa ya nauli za kigamboni wakasema kuwa watu wanalalamikia ongezeko hilo hasa upande wa maguta. Nauli yake imepanda toka 200 hadi 1800 shilingi. Waliponiacha hoi ni pale waliposema hili ongezeko ni la asilimia 80! tena wamerudia mara mbili, na hata mtangazaji anaonekana kutogundua chochote.
Mie na hesabu zangu ndogo ikabidi nichukue kalam na karatasi kwa sababu sikuamini hilo ongezeko ni asilimia walizotaja ukilinganisha na ile ya abiria ambayo imeongezeka kwa asilimia 100 (toka mia 100 adi mia 200).
Ki ukweli ongezeko la maguta ni ASILIMIA 800 ya bei ya awali iliyotozwa.
TBC, Muongeze umakini mnapoandaa taarif zenu. nyie ni chombo cha serikali hivyo tunaamini/naamini mna watu wataalamu na wajuzi wa mambo ambao kwa ujumla watakua makini katika kuandaa taarifa zenu!
GALAGABAHOOOOO!
Ila inaonekana waandaaji wa taarifa ya habari hawako makini na baadhi ya vitu.
kwa mfano leo wakati wanasoma taarifa ya nauli za kigamboni wakasema kuwa watu wanalalamikia ongezeko hilo hasa upande wa maguta. Nauli yake imepanda toka 200 hadi 1800 shilingi. Waliponiacha hoi ni pale waliposema hili ongezeko ni la asilimia 80! tena wamerudia mara mbili, na hata mtangazaji anaonekana kutogundua chochote.
Mie na hesabu zangu ndogo ikabidi nichukue kalam na karatasi kwa sababu sikuamini hilo ongezeko ni asilimia walizotaja ukilinganisha na ile ya abiria ambayo imeongezeka kwa asilimia 100 (toka mia 100 adi mia 200).
Ki ukweli ongezeko la maguta ni ASILIMIA 800 ya bei ya awali iliyotozwa.
TBC, Muongeze umakini mnapoandaa taarif zenu. nyie ni chombo cha serikali hivyo tunaamini/naamini mna watu wataalamu na wajuzi wa mambo ambao kwa ujumla watakua makini katika kuandaa taarifa zenu!
GALAGABAHOOOOO!