mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,089
- 6,273
Leo nilibahatika kusikiliza taarifa ya habari ya saa 2 usiku .
Kilichonishangaza ni pale waliporipoti kwamba raisi kulipa malimbikizo ya mishahara ya zaidi ya billion 3 watumishi wa bandari.
Kiukweli sio bandari ni shirila la Meli Tanzania, Tanzania Marine Service Company.
Kimsingi nimewadharau sana mnaendelea kujishusha, yaani halafu watangazaji walikuwa wanajichanganyachanganya Sana, hususani Yule mama, na Gabriel sikuhizi sijui umekuaje, naona huna confidence kabisa
Kilichonishangaza ni pale waliporipoti kwamba raisi kulipa malimbikizo ya mishahara ya zaidi ya billion 3 watumishi wa bandari.
Kiukweli sio bandari ni shirila la Meli Tanzania, Tanzania Marine Service Company.
Kimsingi nimewadharau sana mnaendelea kujishusha, yaani halafu watangazaji walikuwa wanajichanganyachanganya Sana, hususani Yule mama, na Gabriel sikuhizi sijui umekuaje, naona huna confidence kabisa