Pragmatist
Member
- Sep 21, 2012
- 18
- 1
Televisheni ya Taifa (TBC) imetoweka hewani kwenye dish kwa zaidi ya wiki mbili sasa bila taarifa. Mbona hamtupi sababu au ndo mnatulazimisha tununue ving'amuzi vya mbia wenu Star Times? Tunakumbuka yaliyotokea enzi za Mkurugenzi wenu aliyeng'olewa. Acheni ubabaishaji. Tunataka kodi zetu zitumike kuhalali.