kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Niliwai kuweka bandiko hapa nikiwashauli walimu wachangamkie fulsa kipindi hiki cha Covd19 sasa leo nimewasikia wakiishauri serikari kupitia tafakuri naona kile nilichokuwa nimeandika na wao wameludia hicho hicho bila hata kusema wazo hili wamelitoa Hapa. Bandiko ni hili hapa. Kutokana na kipindi hiki cha mpito cha Corona, Walimu changamkieni hii fursa - JamiiForums