TBC kuonyesha picha za marehemu kwenye 'bango' lao

Huyu mtu ameuliza swali akitaraji kupata hisia tofauti za watu tofauti sasa inashangaza kuona watu mapovu yanawatoka na kuonesha ujuzi usio na manufaa. Wengine mkajifanya mna akili saaaana kiasi cha kuuliza kama marehemu ana haki. Kama unafikiri ana haki, subiri afe ndugu yako halafu wewe kwa kuamini kuwa wewe ndugu ndio una mamlaka na mwili ule nenda kaufunue hadharani uuache utupu ndio utajua kama ana haki au hana.

Shida yetu ni kufikiri kwa kutumia viungo vya kukalia. Mm nilitaraji kuona maoni yanayofanania hivi japo kwa kupingana:
1. ''Mimi naona ni sawa kwani ni namna ya kuona upendo na hisia............kwa wapendw......''
2. ''Naona si sahihi kwani marehemu mara baada ya kufariki..........kwa Mungu na duniani.......'' na kadhalika.
 
Kawaulize ndugu wa marehemu ambao wamepeleka picha za marehemu kwa hiyari yao kama wanaona sawa au la! halafu kesho uje tena kuuliza kama kumweka marehemu ndani ya jeneza kiasi anakosa pumzi ni kumtendea haki au la!?

Kama unajua wanaotakiwa kujibu swali hili ni ndugu wa marehemu wewe kilikuwasha nini kulijibu?

Yawezekana ukajiona unaakili sana hapo kwenye bold lakini ukumbuke kuwa ni marehemu kama wewe (wa akili) ndio wanapumua na ndio maaana mpk sasa hatujakuweka kwenye jeneza, lkn siku ukiacha kupumua ukawa marehemu wa mwili, basi tutakuweka kwenye jeneza.
 
Huyu mtu ameuliza swali akitaraji kupata hisia tofauti za watu tofauti sasa inashangaza kuona watu mapovu yanawatoka na kuonesha ujuzi usio na manufaa. Wengine mkajifanya mna akili saaaana kiasi cha kuuliza kama marehemu ana haki. Kama unafikiri ana haki, subiri afe ndugu yako halafu wewe kwa kuamini kuwa wewe ndugu ndio una mamlaka na mwili ule nenda kaufunue hadharani uuache utupu ndio utajua kama ana haki au hana.

Shida yetu ni kufikiri kwa kutumia viungo vya kukalia. Mm nilitaraji kuona maoni yanayofanania hivi japo kwa kupingana:
1. ''Mimi naona ni sawa kwani ni namna ya kuona upendo na hisia............kwa wapendw......''
2. ''Naona si sahihi kwani marehemu mara baada ya kufariki..........kwa Mungu na duniani.......'' na kadhalika.


Big up mwana mtoka pabaya, kama vile uko akilini mwangu. Binafsi hapa na mimi nilikuwa nachokoza ili mjadala wetu utusaidie kutupanua. Lakini naona wadau wanakuja juu. Nimeshangazwa sana na mdau anaeyehoji, marehemu anahaki zipi. Hata hivyo nashukuru umemjibu.
 
Hahahahahahaha!.Umefunika mkuu hapo mwisho,khaaa!.
Kawaulize ndugu wa marehemu ambao wamepeleka picha za marehemu kwa hiyari yao kama wanaona sawa au la! halafu kesho uje tena kuuliza kama kumweka marehemu ndani ya jeneza kiasi anakosa pumzi ni kumtendea haki au la!?
 
Kwa sasa TBC 1 wana kipindi chao kinaitwa bango ambacho hutumika kuonyesha picha za marehemu kwa chagizo la onyesha upendo wako kwa kuutangazia ulimwengu picha ya marehemu aliyefariki mwaka 1950! Nijuavyo picha hizi pamoja na kulipiwa gharama za kutangazwa, picha hizo hupelekwa TBC kwa hiari na ndugu wa marehemu. Je hii ni kuwatendea haki marehemu hao? Tuelimishane!


:hurt:
.... Kumbe jibu unalo...........
 
Back
Top Bottom