Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,351
- 5,244
Hayo yamesemwa na waziri wa habari Mh Innocent Bashungwa wakati kamati ya bunge ilipotembelea ofisi za TBC leo.
Waziri Bashungwa tiyari ameshatoa maelekezo suala la visimbuzi vya TBC vianze kupatikana pia ameagiza suala la hati miliki la kurusha michezo mbalimbali lifanyiwe kazi haraka.
chanzo ; TBC
Waziri Bashungwa tiyari ameshatoa maelekezo suala la visimbuzi vya TBC vianze kupatikana pia ameagiza suala la hati miliki la kurusha michezo mbalimbali lifanyiwe kazi haraka.
chanzo ; TBC