master09
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 808
- 559
Nipo naangalia TBC live sasa hivi, Prof.Kabudi anatoa nondo za hatari jinsi nchi ilipotoka na ilipo. Pia jinsi ilivyosaidia nchi nyingine kupata uhuru.
Mwaka 1980 Nyerere alinunua ndege mbili za ATC Kwa cash.Moja iliitwa Kilimanjaro na nyingine Serengeti Ila watu wanasahau amesisitiza.
MWITONGO MAARIFA anasema,
Kwann umeona busara kujibu swali linalohusu Tundu Lisu kupingwa risasi kwa lugha ya kiingereza? Katika kujibu kwa kiingereza pia uoni kwamba umeieleza dunia kwamba viongoz wetu hawana ulinzi?japo siamini Kama kwako Dodoma hapalindwi?
Kwann unasema watoto wako hawawezi kugombeA urais wa Tanzania?Nijuavyo wamezaliwa nje ya nchi na wewe baba yao ukiwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa, je huo uraia wa kurithi wanaupataje? Sect 6 of citizenship act,1995...nazidi kuisoma tusiwanyime watoto wetu tuliozaa nje haki ya kuwa Marais wa nchi Yao
Uraia pacha umeujadili kwa zaidi ya nusu saa lakini umejikita kwenye fear of unknown, Ni upi msimamo wa Tanzania kwa diaspora Kama hatuna mpango na dual citizenship?Wanalindwa na sheria gani?Kama hakuna sheria tulitegemea uje ukiwa umejadili na serikali na mmeafikiana nn lakini naona hukuja kuzungumza na diaspora ukiwa na way foward au government stand...
Sijakusikia ukieleza nn Tanzania inategemea kutoka kwa diaspora
Hakuna inayomlinda mwanaume wa kigeni aliyeoa Mtanzania, wewe umesema wana privileges je Ni zipi?Mgeni akioa mtanzania haimpunguzii kulipa vibali Kama wageni wengine na tunao washkaji wanalipishwa..
Hayo Ni baadhi.....
Mwaka 1980 Nyerere alinunua ndege mbili za ATC Kwa cash.Moja iliitwa Kilimanjaro na nyingine Serengeti Ila watu wanasahau amesisitiza.
MWITONGO MAARIFA anasema,
Kwann umeona busara kujibu swali linalohusu Tundu Lisu kupingwa risasi kwa lugha ya kiingereza? Katika kujibu kwa kiingereza pia uoni kwamba umeieleza dunia kwamba viongoz wetu hawana ulinzi?japo siamini Kama kwako Dodoma hapalindwi?
Kwann unasema watoto wako hawawezi kugombeA urais wa Tanzania?Nijuavyo wamezaliwa nje ya nchi na wewe baba yao ukiwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa, je huo uraia wa kurithi wanaupataje? Sect 6 of citizenship act,1995...nazidi kuisoma tusiwanyime watoto wetu tuliozaa nje haki ya kuwa Marais wa nchi Yao
Uraia pacha umeujadili kwa zaidi ya nusu saa lakini umejikita kwenye fear of unknown, Ni upi msimamo wa Tanzania kwa diaspora Kama hatuna mpango na dual citizenship?Wanalindwa na sheria gani?Kama hakuna sheria tulitegemea uje ukiwa umejadili na serikali na mmeafikiana nn lakini naona hukuja kuzungumza na diaspora ukiwa na way foward au government stand...
Sijakusikia ukieleza nn Tanzania inategemea kutoka kwa diaspora
Hakuna inayomlinda mwanaume wa kigeni aliyeoa Mtanzania, wewe umesema wana privileges je Ni zipi?Mgeni akioa mtanzania haimpunguzii kulipa vibali Kama wageni wengine na tunao washkaji wanalipishwa..
Hayo Ni baadhi.....