Kwa walio na access na tbc waangalie kipindi cha propaganda kuhusu mgomo wa madaktari..kuna prof. kuzilwa makamu mkuu wa chuo mzumbe..nimemdharau anavyosema rasilimali hazitoshi so madaktari waridhike japo kwa wanachokipata
Je jambo hili lina tija sasa kujadiliwa katika kipindi maalum katika tv ya taifa.
Madaktari walioalikwa wote wanaongea kuonyesha madaktari walipogoma haikuwa halali, je tunahitaji ushauri wa watu hawa wahuni?
Mimi naona hawa wanatafuta umaarufu tu.
La kuvunda halina ubani, ccm wameishiwa nguvu na mamlaka ya kuendelea kutawala, angalieni mbinu za kijinga na za kitoto zinanotumiwa na ccm kukabiliana na CDM.
Ha ha haa, mm nilikuwa nacheka tu, manake Dr. Njelekela, Prof. Museru na Prof. Kuzilwa hawakujiandaa kabisa na hawakuwa wanaongea kama watu ambao wanajua wanachokiongea! Dah, aina ya viongozi tulionao ni tatizo kubwa sana!
Je jambo hili lina tija sasa kujadiliwa katika kipindi maalum katika tv ya taifa.
Madaktari walioalikwa wote wanaongea kuonyesha madaktari walipogoma haikuwa halali, je tunahitaji ushauri wa watu hawa wahuni?
Mimi naona hawa wanatafuta umaarufu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.