Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Kuna mashindano ya Mpira ya COSAFA yanaendelea, Timu ya Taifa ya mpira wa miguu inashiriki na inafanya vizuri, ZBC2 Ya Zanzibar inaonyesha, lakini hii ZBC2 inapatikana katika king'amuzi cha Azam, Lakini TBC inapatikana katika ving'amuzi vyote kupitia Chaneli zake mbili TBC1 na TBC2, Lakini cha ajabu TBC wanashindwa hata kujiunga na ZBC2 kuwaletea wananchi mechi za timu ya Taifa Live .
Hivi TBC kama nyinyi msipowarushia wananchi gemu muhimu za Timu ya Taifa mnataka nani arushe?. Juzi hapa tumewachapa Malawi goli 2-0 lakini TBC kimyaaa, wanaweka miziki tu kule TBC2, leo kuna mechi nyingine kati yetu na Angola lakini TBC wanaweka miziki tu!.
Wananchi hatutaki kusikia habari za rights, tunataka kuziona mechi za Timu yetu ya Taifa ikicheza Live Full-Stop!. Jiongezeni basi!!!
Hivi TBC kama nyinyi msipowarushia wananchi gemu muhimu za Timu ya Taifa mnataka nani arushe?. Juzi hapa tumewachapa Malawi goli 2-0 lakini TBC kimyaaa, wanaweka miziki tu kule TBC2, leo kuna mechi nyingine kati yetu na Angola lakini TBC wanaweka miziki tu!.
Wananchi hatutaki kusikia habari za rights, tunataka kuziona mechi za Timu yetu ya Taifa ikicheza Live Full-Stop!. Jiongezeni basi!!!