commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Ni kama vile imekuwa vyombo hivi ni sehemu ya ccm campaign team,kwani tunachoshuhudia katika taarifa zote za habari tangu kuanza kwa kampeni huko igunga ni upendeleo wa wazi katika utoaji (habari picha).wakati mgombea wa ccm akionyeshwa muda mrefu na maelezo elekezi toka kwa ripota,huku tukionyeshwa picha ya mahudhurio ya umati ikionyeshwa. Lakini inakuwa kinyume inapokuja wa cdm,kamera inageuzwa na kuonyeshwa nyuma ya jukwaa na picha ya mgombea huku background ikiwa ni anga au paa la jukwaa!,kulikoni???