Mhakiki
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,306
- 1,993
Akikueleza ni ibox na mm maana tbc imezua taharuki.
Mkuu nielekeze jinsi ya kuilock kabisa isionekane kwangu
Mkuu nielekeze jinsi ya kuilock kabisa isionekane kwangu
Yaani mkuu ulicho andika hapa nafananisha na kitendo cha kuwepo katikati ya watu halafu umejamba either kwa bahati mbaya au makusudi halafu wewe mwenyewe tena uliye jamba ndio unakuwa wa kwanza kuuliza "nani aliye jamba?". Usijifanye ni kama huelewi mkuu kuhusu swali lako. Majibu unayoYaani wewe kubalansi ni chadema kuitumia? Kuna mtu kawakataza hao chadema kuitumia au fikra zao wenyewe ndio zinawaumiza juu ya tbc?
Watangazaji wenyew wapo kiccm ccm kwahiyo taarifa zinakuwa butu.kama management na watangazaji wake ni wale wale hapo ni sawa na pombe ya matap tap ndani ya chupa ya Castle lager!
Hahah, sam mahela alikuwa hana vipele alipokuwa ITV ila akiwa TBC mkorogo wa scrubs unaonekana liveNaimani wale wadada wa kinyakyusa sasa nitawaona kwa uzur zaidi, zamani niliwaona kama screen jivu ila Yule Mramba ndo atang'aa zaidi.
Hongera Serikali, nadhani kesho tutazindua.
Poa poa mkuuAkikueleza ni ibox na mm maana tbc imezua taharuki.
Kwanza TBC inaongozwa kisiasa,pili, TBC haina pesa za kutosha.TBC ni Mali ya umma,sasa inakuwaje shirika hilo kumilikiwa na ccm??Tatizo sio mitambo yenu,bali ni vipindi vyenu sio vya kisasa na ubunifu mdogo wa viongozi wenu.kwanza fanyeni utafiti kujua nini watanzania wa kizazi hiki wanataka,badilikeni wale wa kuamini propaganda bila kuoji hawapo,wa sasa wanaoji,mpaka wakati mwingine wanakera.Ryoba kazi bado,hatujaona ubunifu wako.....
Amesema ccm kwa sababu ccm ndo wanapiga makofi kwa kila kitu kufunga mitambo ya kisasa ni jambo nzuri lakin bila maudhui mazuri ya vipindi tbc ni ileileKwa akili hizi bado mnawaza kukabidhiwa madaraka ya nchi hii...wakati kwa kauli zenu mnadharau...'instruments' za nchi yetu. 'Instruments' za serikali...serikali yetu sisi watanzania. Yaani sijui huyo anayewasimamia na kuwafunda kufikiri kifikra tunduizi anawaza nini?
Mitambo ni moja na cotents ni kitu ingine lazima zote ziboreshweHivi ubora wa TV huwa ni mitambo ama contents.
Sawa sawa mitambo si tatizo, tatizo content ,na wawe na watu talentsTatizo siyo mitambo hata wakiwa na HD tatizo ni wanatangaza nini? Mbona ya Tito Mhando ilipendwa bila hata hiyo mitambo...
Kwa mfano TBC2,iko underutilized. Naamini lengo la TBC2 lilikua kuonyesha vipindi maalum vya burudani vya kuchochea biashara. Kama EPL,Ligue1,Santander nk.
Hizi ni tuhuma nzito wahusika waje wajizibu!!Kwanza TBC inaongozwa kisiasa,pili, TBC haina pesa za kutosha.TBC ni Mali ya umma,sasa inakuwaje shirika hilo kumilikiwa na ccm??