Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Katika Nchi ambazo zinafanya demokrasia ya Kweli na siyo ya kuigiza kama ilivyo kwa Tanzania, kwa hakika baada ya hotuba ya Rais, Tiddo Muhando angebidi awaweke Mwanasiasa wa Upinzania hata japo la Wataalamu wa masuala Mbalimbali katika Tanzania na Kuanza kujadili au kujibu hoja mbalimbali za Rais,
Kwa hakika kwa kufanya hivyo Tanzania yote au Watanzania wanaweza kupata picha halisi au maelezo halisi toka wa kada mbalimbali katika kutokana nna hotuba ya Rais aliyeitoa kwa mwananchi kwa kuuliza maswali. TBC, Taifa inafaa washauriwe kuwa TBC ni mali ya Watanzania wote bila kujali Dini, Itikadi ya kisiasa ya Chama chochote kile, Kwa watu kama vyama vya upinzania nao inafaa kusikiliza mawazo yao katika hili na kutoa comments zao iwe CHADEMA, CUF, TLP, TADEA DP, TBC ni mali yao na tena inalipiwa kodi za Taifa la Tanzania. Rais wetu alifanya mahojiano moja kwa moja toka kwa Watanzania, hivyo kufanya kupata picha kwa upande mmoja. Kila Mtanzania anayo haki ya kupewa habari, na kutoa habari. Jaribu kutazama mahojiano ya Fox news, ABC, CCN International, CCN News, BBC, VOA, utaona kwa kiasi gani kama usawa unakuapo katika Habari. Tanzania ni ya kwetu wote bila ya kujali itikadi wa Chama cha siasa.
Kwa hakika kwa kufanya hivyo Tanzania yote au Watanzania wanaweza kupata picha halisi au maelezo halisi toka wa kada mbalimbali katika kutokana nna hotuba ya Rais aliyeitoa kwa mwananchi kwa kuuliza maswali. TBC, Taifa inafaa washauriwe kuwa TBC ni mali ya Watanzania wote bila kujali Dini, Itikadi ya kisiasa ya Chama chochote kile, Kwa watu kama vyama vya upinzania nao inafaa kusikiliza mawazo yao katika hili na kutoa comments zao iwe CHADEMA, CUF, TLP, TADEA DP, TBC ni mali yao na tena inalipiwa kodi za Taifa la Tanzania. Rais wetu alifanya mahojiano moja kwa moja toka kwa Watanzania, hivyo kufanya kupata picha kwa upande mmoja. Kila Mtanzania anayo haki ya kupewa habari, na kutoa habari. Jaribu kutazama mahojiano ya Fox news, ABC, CCN International, CCN News, BBC, VOA, utaona kwa kiasi gani kama usawa unakuapo katika Habari. Tanzania ni ya kwetu wote bila ya kujali itikadi wa Chama cha siasa.