julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,604
- 3,398
Kuna hii ziara ya bandarini aliyoifanya mzee na benki kuu makala mnairusha aise inanikosha sana.
Ziara ya pale bandarin hasa pale mzee amewabana wale jamaa wa kuscan mizigo aisee kweli pale aliwabana maana inaonesha tayari mzee alikua ana info za kutosha alifika kujiridhisha.
Nashauri sana huu utaratibu wa kuweka vijana kila mahali wawe wanatoa taarifa za utendaji. Yaani kuwe na chawa kila mahali hio ndio mbinu nzuri watu wafanye kazi.
Aise jamaa walichanganyikiwa wanamueleza sijui container hatuwez kujua vilivyomo sijui mpaka vifanyaje sijui mpaka viifanyaje.
TBC makala hizi zinazipa uchungu sana kuona namna gani jembe letu lilivopiga kazi jamani.
Kwa uelekeo huu, ziara za ghafla ziwe ndio chachu na pamoja na kuzifatilia hela hukohuko walipozila wazitolee matundu yote waliyoingizia.
Ziara ya pale bandarin hasa pale mzee amewabana wale jamaa wa kuscan mizigo aisee kweli pale aliwabana maana inaonesha tayari mzee alikua ana info za kutosha alifika kujiridhisha.
Nashauri sana huu utaratibu wa kuweka vijana kila mahali wawe wanatoa taarifa za utendaji. Yaani kuwe na chawa kila mahali hio ndio mbinu nzuri watu wafanye kazi.
Aise jamaa walichanganyikiwa wanamueleza sijui container hatuwez kujua vilivyomo sijui mpaka vifanyaje sijui mpaka viifanyaje.
TBC makala hizi zinazipa uchungu sana kuona namna gani jembe letu lilivopiga kazi jamani.
Kwa uelekeo huu, ziara za ghafla ziwe ndio chachu na pamoja na kuzifatilia hela hukohuko walipozila wazitolee matundu yote waliyoingizia.