Wamevuta bange
hata mimi nilisikia watu wakizungumza nyuma ya camera ila sikuwa makini sana kufatilia hivyo sikusikia matusi.ni hivi kiufundi (techinical wise) hizo huitwa noise au unwanted sound,walichokosea tbc ni kuruhusu ile camera ipokee sauti kupitia mic attached na camera,zinaitwa omndirectional microphone.sasa tabia ya mic za namana hii ni kurekod sauti toka kila angle(nyuma,mbele kushoto na kulia).ila kama wangetumia Unidirectional microphone tusingesikia mazungumzo yao kwani zenyewe hurekodi sauti toka uelekeo mmoja na maranyingi huwa ni uelekeo wa camera.jambo lingine ni kwamba kulikuwa hakuna ulazima a kupokea sound signal toka ktk ille camera.mafund walichemsha.na hii sio mara ya kwanza kwa tbc hasa wanapo rusha matangazo ya moja kwa moja.tbc jipangeni.Jamani nasikia kbs jamaa wanatoa matusi makubwa live TBC mara vifaa vya si****** ss sielewi inakuwaje wanashindwa ku control hii sauti,wachoongea hawa ni aibu kwa Taifa,au ni wafanyakazi wa TBC one!hebu mtuweke sawa!
Nimewasikia. Wana utovu wa nidhamu. Pia TBC wametega kamera uwanjani na jukwaa kubwa basi. Hakuna aerial view wala nini. Wmekaa mahali pamoja utadhani wametiwa gundi. Si wangesidiana hata na makampuni yenye vifaa ili walete matangazo bora?
Hawajui kabisa kurusha matangazo ya live,
picha hazionekani vizuri,ndege zenyewe hawajatuonyesha,
watoto walivyoandika miaka hamsini ya uhuru badala watuonyeshe picha kwa juu wameganda hapohapo,wanapiga story
tunasikia,
TBC1 hamkuwa serious na kurusha hili tukio.
Jamani nasikia kbs jamaa wanatoa matusi makubwa live TBC mara vifaa vya si****** ss sielewi inakuwaje wanashindwa ku control hii sauti,wachoongea hawa ni aibu kwa Taifa,au ni wafanyakazi wa TBC one!hebu mtuweke sawa!
sisi kama wananchi wazalendo tunataka tbc iombe radhi kwa umma kufuatia matusi hayo, pili uongozi wa tbc kupitia dg wake mr mshana itangazie umma hatua walizochukua kwa wafanyakazi wahusika na supv wao kwa kitendo chao cha aibu kwa tbc na serikali kwa ujumla. Usije ukafanya wanainchi waanze ku wa miss ma real profesionals kama d wakati,tido mhando etc[/QUOTE)HIYO SAHAU hawataomba radhi wala kuachishwa kazi, jambo km hili linaonekana dogo sana kwa serikali hii
Nakuunga mkono!sisi kama wananchi wazalendo tunataka tbc iombe radhi kwa umma kufuatia matusi hayo, pili uongozi wa tbc kupitia dg wake mr mshana itangazie umma hatua walizochukua kwa wafanyakazi wahusika na supv wao kwa kitendo chao cha aibu kwa tbc na serikali kwa ujumla. Usije ukafanya wanainchi waanze ku wa miss ma real profesionals kama d wakati,tido mhando etc[/QUOTE)HIYO SAHAU hawataomba radhi wala kuachishwa kazi, jambo km hili linaonekana dogo sana kwa serikali hii
So what? This is no big deal.hata obama ananaswa kwenye open mike
dalili za kukata tamaa, busara si kitu katikati ya hali ngumu ya maisha. acha watukane mbona Mkuu wa mkoa na OCD wake Arusha kila leo wanawaita wananchi PANYA, au MBWA
Hao sijawasikia, lakini kama ni kweli inafaa wachukuliwe hatua kali za kinidhamu kuanzia Mkurugenzi wa TBC mpaka waliopo huko kiwanjani. Huu ni uzembe wa hali ya juu, haya ni matangazo ya Taifa na yanasikika dunia nzima.
Hii "Mitanzania" ndivyo ilivyo!