Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Aisee nipo na ka TV kangu naangalia hii kitu ya Mei Mosi kupitia ITV ambao wamejiunga na TBC, hizi picha nazoziona hapa utafikiri zimepigwa zama za Pontio Pilato! Watu wanaonekana kama masanamu tu! Poor images!
Serikali iache kutufanya kama watu tunaoishi enzi za Tipu tupu au enzi za utawala wa Chief Mangungo. Serikali iruhusu TV private kufanya live coverage as TBC wamefeli kabisa licha ya kukosolewa kila mara na hawataki kubadilika.
..........Update, ITV wamefanya live coverage, asante picha zinaonekana vizuri!
Serikali iache kutufanya kama watu tunaoishi enzi za Tipu tupu au enzi za utawala wa Chief Mangungo. Serikali iruhusu TV private kufanya live coverage as TBC wamefeli kabisa licha ya kukosolewa kila mara na hawataki kubadilika.
..........Update, ITV wamefanya live coverage, asante picha zinaonekana vizuri!