TBC, hamjapata habari kuwa Mbowe kapata dhamana?

Kumbukumbuyatorati

Senior Member
Jul 27, 2018
152
220
TBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.

Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?

Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
 
Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
 
TBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.

Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?

Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Channel 10 wamereport?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Ninavomjua Ndege john,ni Ndege asiye akili ya kupambanua. Ni Ndege asiye jua kuvua Samaki kama Ndege wengine.
Yeye hula mizoga tu. Siku nchi hii ikichukuliwa na wapinzani mtu kama wewe na hao TBC kiyama kitawakuta.
ila msilalamike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TBC1 mnatia aibu sana. Hii si sawa kabisa. Kama ni maagizo "kutoka juu" basi tujue tunapotoka katika dhana ya utawala bora katika tasnia ya habari. Inasikitisha sana maana tunajenga uhasama katika jamii. Laiti mngeingia ndani ya moyo na fikra zangu ninavyotamani umoja, mshikamano na Utaifa wetu msingefanya hivi.

Hivi kweli Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na Mbunge wake Esther Matiko wamekaa ndani takriban miezi mitati Leo wameachiwa huru kweli hii si habari basi hata ya mwisho? Kwamba Mbowe na Matiko si habari ya kuwaambia Watanzania? Kweli?

Hivi tunajua TBC ni chombo cha umma! Tunajua hata wale wafuasi wa CHADEMA nao wanalipa kodi inayoendesha TBC? Kweli? Mkurugenzi Dk. Ayubu Ryoba kweli habari zote Tanzania hii kwenu si habari?
Chief we unatafuta nini huko TBC? hakuna channels nyingine za kuangalia? 😁
 
Yaani kupata dhamana TU mnataka tutangazie Africa yote? subirini kwanza ashinde kesi yake ya msingi ikumbukwe mahakama ziko huru so msije kulia Lia Tena hapa.btw kashajifunza nadhani Sasa atakuwa raia mwema Kama wengine akiendelea kutii sheria za nchi yetu ambazo tumewekeana
Acha kujitoa fahamu.
TBC wamechukizwa na hukumu iliyotolewa leo. Mbowe na Matiko wangebaki rumande hiyo ingekuwa habari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kukatiwa channels za ndani mimi siku hizi sitazami kabisa taarifa ya habari za ndani. Nimeshindwa kuvumilia kurudisha nyuma miaka 40. Niliacha kutazama tbc 2013. Itv, na nyinginezo niliacha 2016 baada ya kulazimishwa kutangaza kama tbc.


Mie ikifika saa 1 niaweka citizen..saa 3 naweka tena citizen..bora kuhama nchi..tena citizen kutam kweli week hii
 
Back
Top Bottom