Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hela za kununua mitambo ya kurushia matangazo ya HD wanazo?
Hahahahaha....jiwe kawa zimwi
Kuna mtu atakuja kuuliza, huo muonekano sio tatizo la risiva kweli...!!!?? hata mie sielewi...
Je, wanarusha picha katika kiwango cha UHD, HD au SD?
Je, mpiga picha alikuwa umbali gani kutoka alipo JPM? Zooming too much inaharibu picha...
Je, chanzo cha mwanga kilikuwa upande gani, subject alikuwa uelekeo upi toka mwanga unapotokea?
Je, mpiga picha alitumia filter sahihi kwa mandhari aliuokuwepo?
Upande mwingine ni je hiyo TV/Receiver yako mkuu ina spec zipi kwenye kudecode picha?
Je, wanarusha picha katika kiwango cha UHD, HD au SD?
Je, mpiga picha alikuwa umbali gani kutoka alipo JPM? Zooming too much inaharibu picha...
Je, chanzo cha mwanga kilikuwa upande gani, subject alikuwa uelekeo upi toka mwanga unapotokea?
Je, mpiga picha alitumia filter sahihi kwa mandhari aliuokuwepo?
Upande mwingine ni je hiyo TV/Receiver yako mkuu ina spec zipi kwenye kudecode picha?
Kweli shirika ni zeee zee sanaaShirika kongwe
Ni wakati wote picha za TBC huwa na mwanga hafifu kwa objects...? (Wengine huwa hatutizami hiyo televisheni)Hiyo decoder ipate tatizo muda wa mkuu kuhutubia tu?
Wacha tufanye tv ndio inatatizo