TBC fungeni ofisi mkafanye kazi nyingine

Avatar

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,127
11,904
8/10/2019
IMG_20191008_211317.jpeg
IMG_20191008_211320.jpeg
 
Kuna mtu atakuja kuuliza, huo muonekano sio tatizo la risiva kweli...!!!?? hata mie sielewi...
 
Negative Kabisa
Aibu Sana Hii Tbc Wana Yule Dkt Wao Yaani Bado Yupo Ofisini, Kweli
Tanzania Wanaotuangusha Ni Wasomi
 
Je, wanarusha picha katika kiwango cha UHD, HD au SD?

Je, mpiga picha alikuwa umbali gani kutoka alipo JPM? Zooming too much inaharibu picha...

Je, chanzo cha mwanga kilikuwa upande gani, subject alikuwa uelekeo upi toka mwanga unapotokea?

Je, mpiga picha alitumia filter sahihi kwa mandhari aliuokuwepo?

Upande mwingine ni je hiyo TV/Receiver yako mkuu ina spec zipi kwenye kudecode picha?
 
Kuna mtu atakuja kuuliza, huo muonekano sio tatizo la risiva kweli...!!!?? hata mie sielewi...
Je, wanarusha picha katika kiwango cha UHD, HD au SD?

Je, mpiga picha alikuwa umbali gani kutoka alipo JPM? Zooming too much inaharibu picha...

Je, chanzo cha mwanga kilikuwa upande gani, subject alikuwa uelekeo upi toka mwanga unapotokea?

Je, mpiga picha alitumia filter sahihi kwa mandhari aliuokuwepo?

Upande mwingine ni je hiyo TV/Receiver yako mkuu ina spec zipi kwenye kudecode picha?
 
Hiyo decoder ipate tatizo muda wa mkuu kuhutubia tu?

Wacha tufanye tv ndio inatatizo
Je, wanarusha picha katika kiwango cha UHD, HD au SD?

Je, mpiga picha alikuwa umbali gani kutoka alipo JPM? Zooming too much inaharibu picha...

Je, chanzo cha mwanga kilikuwa upande gani, subject alikuwa uelekeo upi toka mwanga unapotokea?

Je, mpiga picha alitumia filter sahihi kwa mandhari aliuokuwepo?

Upande mwingine ni je hiyo TV/Receiver yako mkuu ina spec zipi kwenye kudecode picha?
 
Hiyo decoder ipate tatizo muda wa mkuu kuhutubia tu?

Wacha tufanye tv ndio inatatizo
Ni wakati wote picha za TBC huwa na mwanga hafifu kwa objects...? (Wengine huwa hatutizami hiyo televisheni)
 
Ni wakati wote picha za TBC huwa na mwanga hafifu kwa objects...? (Wengine huwa hatutizami hiyo televisheni)
kama hiyo inayoonekana imetokea hivyo..

Hilo ni swala la kameramani wakati huo.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom