Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Ndugu wana jf. Mimi si mchangiaji wa mara kwa mara lakini leo nataka niseme hili kwa kile ambacho nadhani ni mkakati wa kuhalalisha safari za raisi wetu nje ya nchi.
Kwa kutumia kipindi chake cha enzi hizo, TBC imekuwa ikituonesha safari zilizokuwa zikifanywa na baba wa taifa nje ya nchi bila kutuonesha alichokizungumza au madhumuni ya safari. TBC inaonekana kuwa interested na matukio zaidi badala ya dhima ya safari yenyewe. Kinachonishangaza zaidi ni kwamba wanaweza wakarudia safari ya nchi moja mara nyingi nadhani ili tuamini kuwa naye mwalimu alikuwa anasafiri sana. TBC tuonesheni picha za mwalimu akisaidiana na wakulima na wafanyakazi vijijini kujenga,kulima na sio mtuoneshe safari za Nigeria kila siku.
Msipofanya hivyo tutaamini mnatumia safari za mwalimu kuhalalisha safari za Kikwete.UHURU NA KAZI!
Kwa kutumia kipindi chake cha enzi hizo, TBC imekuwa ikituonesha safari zilizokuwa zikifanywa na baba wa taifa nje ya nchi bila kutuonesha alichokizungumza au madhumuni ya safari. TBC inaonekana kuwa interested na matukio zaidi badala ya dhima ya safari yenyewe. Kinachonishangaza zaidi ni kwamba wanaweza wakarudia safari ya nchi moja mara nyingi nadhani ili tuamini kuwa naye mwalimu alikuwa anasafiri sana. TBC tuonesheni picha za mwalimu akisaidiana na wakulima na wafanyakazi vijijini kujenga,kulima na sio mtuoneshe safari za Nigeria kila siku.
Msipofanya hivyo tutaamini mnatumia safari za mwalimu kuhalalisha safari za Kikwete.UHURU NA KAZI!