Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Tarehe 23/05/2019 mlionesha mechi ya kabumbu baina ya Simba SC Vs Sevilla FC ya Hispania.
Mlichofanya ni uhuni & ubabaishaji. Hakukuwa na jambo lolote linaloendana na mechi ya kabumbu; hakuna matangazo kama mtaionesha, hakuna uchambuzi wala sauti wakati wa mechi. Mechi imeonesha kibubububu tu.
Mkurugenzi mwenye PhD akiwa ni mhadhiri unatia aibu kubwa. Hii mechi mungewaachia tu Azam waioneshe.
TBC ndo sababu hamna waangaliaji kisa ubabaishaji. Mbadilike
Nimesema!
Bazazi
Mlichofanya ni uhuni & ubabaishaji. Hakukuwa na jambo lolote linaloendana na mechi ya kabumbu; hakuna matangazo kama mtaionesha, hakuna uchambuzi wala sauti wakati wa mechi. Mechi imeonesha kibubububu tu.
Mkurugenzi mwenye PhD akiwa ni mhadhiri unatia aibu kubwa. Hii mechi mungewaachia tu Azam waioneshe.
TBC ndo sababu hamna waangaliaji kisa ubabaishaji. Mbadilike
Nimesema!
Bazazi