kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Habari za muda huu wakuu,
Naomba kuwasilisha hoja hii kuhusu TBC mbona mnaita watu kuwahoji wasio na uelewa mpana?
100% ya wanaoitwa kufanyiwa mahojiano sio wajenzi wa hoja, ni wasifiaji tu. Logic reasoning ni zero kabisa
Hivi huwa mnawatoa wapi hawa wasifiaji?
Badilikeni wekeni watu sio ma robot ya kusifia
Naomba kuwasilisha hoja hii kuhusu TBC mbona mnaita watu kuwahoji wasio na uelewa mpana?
100% ya wanaoitwa kufanyiwa mahojiano sio wajenzi wa hoja, ni wasifiaji tu. Logic reasoning ni zero kabisa
Hivi huwa mnawatoa wapi hawa wasifiaji?
Badilikeni wekeni watu sio ma robot ya kusifia