TBA wako mubashara TBC muda huu wakielezea utekelezaji wa miradi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,558
Karibu ufuatilie mahojiano haya ambayo moja ya miradi inayozungumziwa ni ule wa Hostel za UDSM zilizoleta kizungumkuti jijini Dsm!
 
Anaongea upuuzi huyu mtu yaaaan nmepasua remoteee aaaaah huyu kiumbe huyu eti Photoshop ngoja kesho narusha za mwanza eti Photoshop mjnga huyu

nyufa zinalindwa kama faru ndugai ili zisipigwe picha mara nyingine waulize wanafunzi kama unaweza kusogea eneo lenye ufa
 
Aisee huyu mwakalinga ana matatizo eti zile picha ni Photoshop eti ni kawaida tuuu aisee huu ni ujinga na upuuzi kiki zingine hapana nooo kwa nini hii serikal inajiona kila kitu IPO sahh mm sio chadema wala ccm Mimi ni mzalendo vitu vingine ni ujinga na kuweka mioto katika mioyo ya watu kuna siku watasema noo . JPM look at yourself muda bado upo unaweza rekebisha matatizo unayoyaleta problems are there Mr but kubali kukosolewa ...... Over
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom