nrongalema
Member
- Apr 11, 2011
- 48
- 5
Leo mwakilishi wa mtumishi wa Mungu TB JOSHUA ametoa msaada wa Tshs 25mil kusaidia wahanga wa meli...swali langu kwa nini ni ikulu ya Dar na siyo Zanzibar..! ?source: michuziblog.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wewe tatizo lako nini! MBONA SIONI TATIZO HAPO!Leo mwakilishi wa mtumishi wa Mungu TB JOSHUA ametoa msaada wa Tshs 25mil kusaidia wahanga wa meli...swali langu kwa nini ni ikulu ya Dar na siyo Zanzibar..! ?source: michuziblog.
kwani wewe tatizo lako nini! MBONA SIONI TATIZO HAPO!
kwani wewe tatizo lako nini! MBONA SIONI TATIZO HAPO!
Leo mwakilishi wa mtumishi wa Mungu TB JOSHUA ametoa msaada wa Tshs 25mil kusaidia wahanga wa meli...swali langu kwa nini ni ikulu ya Dar na siyo Zanzibar..! ?source: michuziblog.
Does it even deserve to be the news
............. Mgalatia akifanya jema hilo hupokelewa ! ila la kumkanusha Mungu hilo halivumiliki, pale uneitwa Mgalalatia angemkanusha "Mwenyezi Mungu" hadharani......................... maana angeanza: Kwa jina la Baba, Mwana na ................... weee ! wapi na wapi ?Uandishi wenu bwana ni wajabu sana .Mie nikadhani kwamba Jamaa mwenyewe yuko Ikulu kumbe mwakilishi ? Na kwa nini wasitoe pesa hii kule kule Nigeria Ubalozini hadi waje Ikulu yetu ?
Haya swali jingine ni hili , siku ile ya mazishi sijui ya kitaifa pale kiwanjani walitajwa viongozi wooote hadi mashekhe lakini mkristo mwakilishi waumini hakutajwa .Makanisani tuliomba bila kujali wamekufa akina nani .Je pesa ya hawa wagalatia itapokelewa vipi kule kwa wale Mujahidina ?Wacha tuone kama watapokea au watakataa
.......... Zaidi ya hapo, kila jambo alifanyalo huwa linakuwa na Prophetic message, na huwezi kuijua hiyo mpaka mamlaka husika ziombe kuonana naye, naye hufunguka kila kitu. ......."
............. Mgalatia akifanya jema hilo hupokelewa ! ila la kumkanusha Mungu hilo halivumiliki, pale uneitwa Mgalalatia angemkanusha "Mwenyezi Mungu" hadharani......................... maana angeanza: Kwa jina la Baba, Mwana na ................... weee ! wapi na wapi ?
'' Enyi watu wa kitabu, njooni katika neno lililo sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimwabudu yeyeote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote : Wala tisifanyane sisi kwa sisi kuwa ni Waungu, badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislaaam !" Quran: Al Imran 64.
Leo mwakilishi wa mtumishi wa Mungu TB JOSHUA ametoa msaada wa Tshs 25mil kusaidia wahanga wa meli...swali langu kwa nini ni ikulu ya Dar na siyo Zanzibar..! ?source: michuziblog.