TB Joshua kiboko!

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
2,436
4,429
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.
 
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.

Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.
 
Hebu naomba huo utabiri wa Mama Joyce Banda kushindwa. Naomba verbatim kabisa.

Maana nataka nilinganishe na opinion polls za kabla ya uchaguzi.

Manake bongo mtu kuwa kiboko, kichwa, au genius wala huhitaji kufanya lolote la ajabu.

Waweza andika Kiingereza cha maneno ambayo hayatumiki sana katika maongezi ya kawaida ya kila siku (hata kama hakijanyooka kisarufi) na ukaonekana genius...

Tuna viwango vya chini mno....ndo maana nataka niuone huo ukiboko wa huyo TB Joshua kupitia hayo maneno yake verbatim.

Kwa sababu huenda aliangalia opinion polls na kuona kuwa Banda hawezi kushinda na hivyo kujitosa katika kujifanya anatoa utabiri kumbe wala mwenzenu kawazidi ujanja tu.
 
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.

Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.

umemaliza kila kitu mkuu.asante sana.
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Acha uongo.Hebu weka huo utabiri hapa

Nimesoma magazeti ya Malawi.Banda kumteua Gwengwe kuwa Mgombea Mwenza ni kutokana na influence ya utabiri wa TB Joshua kuwa ili ashinde na kuongoza vizuri awe na Deputies vijana
 
Hebu naomba huo utabiri wa Mama Joyce Banda kushindwa. Naomba verbatim kabisa.

Maana nataka nilinganishe na opinion polls za kabla ya uchaguzi.

Manake bongo mtu kuwa kiboko, kichwa, au genius wala huhitaji kufanya lolote la ajabu.

Waweza andika Kiingereza cha maneno ambayo hayatumiki sana katika maongezi ya kawaida ya kila siku (hata kama hakijanyooka kisarufi) na ukaonekana genius...

Tuna viwango vya chini mno....ndo maana nataka niuone huo ukiboko wa huyo TB Joshua kupitia hayo maneno yake verbatim.

Kwa sababu huenda aliangalia opinion polls na kuona kuwa Banda hawezi kushinda na hivyo kujitosa katika kujifanya anatoa utabiri kumbe wala mwenzenu kawazidi ujanja tu.

Mkuu fikra za wahariri wa sampuli hii ndizo zilizopelekea headlines kubwa kubwa kwenye magazeti kipindi cha Babu wa Loliondo.Hawa hawakujishughulisha kuhusu mambo scientific.Wanapenda mambo rahisi rahisi yasiyohitaji logic na critical thinking.
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Sijaona la ajabu alilofanya kwasababu kutabiri jambo na likatokea sio la ajabu

Labda kuna lingine tofauti na hilo utuambie

Au neno "ajabu" lina maana tofauti kwako na kwangu!
 
Mbona ndege haijapatikana bado?? Mbona Arsenal imeshinda kikombe na hivyo kukinzana na utabiri wake?? Utabiri ni ujanja ujanja tu wa kucheza na nyota na mwendo wa matukio, ni kama Shekh Yahaya alivyokuwa anatabiri kiujanja ujanja tu.

Binafsi awe mtu wa Mungu au shetani, akishajiingiza kwenye utabiri tu huyo kwangu mchawi maana utabiri ni kucheza na nyota na inakuwa kama unaingilia kazi za Mungu.

Kashaanza kutabiri mpaka soccer? Anguko linakaribia!
 
Mkuu fikra za wahariri wa sampuli hii ndizo zilizopelekea headlines kubwa kubwa kwenye magazeti kipindi cha Babu wa Loliondo.Hawa hawakujishughulisha kuhusu mambo scientific.Wanapenda mambo rahisi rahisi yasiyohitaji logic na critical thinking.

No wonder why this place is so godforsaken!

Maana sampuli kama hizi ndo zina run things nchini.

Eti TB Joshua kiboko.....good grief.
 
Hebu naomba huo utabiri wa Mama Joyce Banda kushindwa. Naomba verbatim kabisa.

Maana nataka nilinganishe na opinion polls za kabla ya uchaguzi.

Manake bongo mtu kuwa kiboko, kichwa, au genius wala huhitaji kufanya lolote la ajabu.

Waweza andika Kiingereza cha maneno ambayo hayatumiki sana katika maongezi ya kawaida ya kila siku (hata kama hakijanyooka kisarufi) na ukaonekana genius...

Tuna viwango vya chini mno....ndo maana nataka niuone huo ukiboko wa huyo TB Joshua kupitia hayo maneno yake verbatim.

Kwa sababu huenda aliangalia opinion polls na kuona kuwa Banda hawezi kushinda na hivyo kujitosa katika kujifanya anatoa utabiri kumbe wala mwenzenu kawazidi ujanja tu.

Halafu hata kama alitabiri kweli kwa namna ambayo huyu jamaa anataka watu wamkubalie,cha ajabu ni kipi?

Hivi "ajabu" maana yake ni hii kweli?

Halafu inawezekana huyu mtu ni mtu wa dini

Kwenye dini tunaambiwa kuwa "hakuna kinachoshindikana kwa Mungu",hii ina maana kuwa hakuna cha ajabu

Sasa huyu jamaa ni kwanini hili ni ajabu wakati hakuna cha ajabu kwenye dini?
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

ni tapeli flani tu hna maono yoyote mbna kashndwa kutabiri kuangushwa kwa boko haram? ?? akafie mbele huko na utabiiri wake wa kijanjajanja
 
Wakati fulani hapa jf kulikuwa na mjadala kuhusu huyu binadamu. Yaelekea ana maono ya hali ya juu. Ametabiri mengi na yametokea. La karibuni ni la mama joyce banda kushindwa urais na kweli yametimia. Swali langu, mtu huyu ni nabii wa Mungu tunayepaswa kumtambua hivyo? Nauliza kwa sababu kuna mengi ya ajabu anayofanya.

Kama anaweza atabiri anguko au ushindi wa Boko haram, au atueleze mwaka kesho Tanzania itaongozwa na rais gani aseme jina lake
 
Manake bongo mtu kuwa kiboko, kichwa, au genius wala huhitaji kufanya lolote la ajabu.

Waweza andika Kiingereza cha maneno ambayo hayatumiki sana katika maongezi ya kawaida ya kila siku (hata kama hakijanyooka kisarufi) na ukaonekana genius...

Tuna viwango vya chini mno....
Marekani mtu kuwa genius mnatumia vigezo gani? Ulishawahi fanya IQ test?
 
Halafu hata kama alitabiri kweli kwa namna ambayo huyu jamaa anataka watu wamkubalie,cha ajabu ni kipi?

Hivi "ajabu" maana yake ni hii kweli?

Halafu inawezekana huyu mtu ni mtu wa dini

Kwenye dini tunaambiwa kuwa "hakuna kinachoshindikana kwa Mungu",hii ina maana kuwa hakuna cha ajabu

Sasa huyu jamaa ni kwanini hili ni ajabu wakati hakuna cha ajabu kwenye dini?

Huyo jamaa (Manyerere) ni mwandishi wa habari (supposedly). Nilitegemea awe makini sana katika matumizi yake ya maneno achilia mbali mantiki za hoja.

Lakini kwa jinsi ambavyo huwa namsoma humu, huwa naishia kutingisha kichwa changu tu.

Hivi kweli huko Malawi hakukuwa hata na opinion poll moja iliyotabiri kushindwa kwa huyo Mama?

Approval rating ya utendaji wake kazi ilikuwa ni asilimia ngapi kabla ya uchaguzi?

I guess hata mimi nikitabiri kuwa CCM mwakani itashinda uchaguzi mkuu nitakuwa nimefanya jambo la ajabu. Nami nitakuwa 'kiboko', 'kichwa', na 'genius'.

Hahahahaaaaaaa duuuuuuh.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom