TB Joshua Alipomtembelea Magufuli - Video toka Emmanuel TV

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,240
4,466


Hii Video imechapishwa na Emmanuel TV.
Inaonesha jinsi TB Joshua alivyokuja kumpa hongera Mhe. Magufuli na kutumia muda mrefu pia kumfariji Mhe. Lowassa. Hii inaendana na maagizo ya kibiblia ya kuwa karibu na wenye huzuni au kuvunjika moyo, sawasawa na Marko 2:17 inayosema: Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi...

Kuna sehemu TB Joshua anasikika akimwambia Lowassa kwamba GOD OPINION IS FINAL.
 
Unataka tutafakari nini juu ya hii video? Na hata kama ndivyo, unaosemeaje ujio wa Yesu? Kama waelewa huoni kuwa huyo Emmanuel alikuwa sahihi kumpelekea ujumbe wa Mungu huyo Magu? Ujio wa Masihi ulikuwa juu ya wenye dhambi na hata wengine walikuja kwa ajili hiyo. Sasa huoni kuwa Joshua akipeleka ujumbe wa Mungu pahala sahihi zaidi? Jipe muda wa kunielewa najua hutanielewa.
 
Naona TB Joshua hajufurahia pale JK alipomwambia He is My Son, Member of Parliament
 


Hii Video imechapishwa na Emmanuel TV.
Inaonesha jinsi TB Joshua alivyokuja kumpa hongera Mhe. Magufuli na kutumia muda mrefu pia kumfariji Mhe. Lowassa. Hii inaendana na wa maagizo ya kibiblia ya kuwa na wakosaji au wenye kuvunjika moyo sawasawa na Marko 2:17 inayosema: Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi...

Lowassa hakuwa akijiweza alihitaji ufariji.

Kuna sehemu TB Joshua anasikika akimwambia Lowassa kwamba GOD OPINION IS FINAL.



Sasa wanaosema kwamba fisadi Lowasa alishinda uchaguzi wako wapi? kwenye hiyo habari kuanzia dak. 5:50 inasema nanukuu ,,they (fisadi Lowasa) should not be discouraged by the dissapointment of losing an election"
Hivyo hata nabii wao wa Kisanii Joshua anafahamu kwamba fisadi Lowasa alipoteza Uchaguzi kwa kifupi hii clip imezidii kumwanika fisadi Lowasa kwamba ana uchu wa madaraka na yote anayoyasema ni ya uongo, huyu mtu ni wa kumwangalia sana kwanza ningekuwa mimi ningeshamshughulikia zamani sana, sema Raisi Magufuli anaonekana naye ni mtu softis kidogo mimi nimemuwashilia mbali dadadeki, watu waongo na wazandiki kama huyu Lowasa ni hatari sana!
 
AISEE TIME WILL TELL.......THE MAN OF GOD ...KAMALIZA KWA UPANDE WE..
 


Hii Video imechapishwa na Emmanuel TV.
Inaonesha jinsi TB Joshua alivyokuja kumpa hongera Mhe. Magufuli na kutumia muda mrefu pia kumfariji Mhe. Lowassa. Hii inaendana na wa maagizo ya kibiblia ya kuwa na wakosaji au wenye kuvunjika moyo sawasawa na Marko 2:17 inayosema: Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi...

Lowassa hakuwa akijiweza alihitaji ufariji.

Kuna sehemu TB Joshua anasikika akimwambia Lowassa kwamba GOD OPINION IS FINAL.

Nilipenda sana kuangalia hii video ila nikaona imekaa kinafki na siasaa za maji taka. Kama lengo ni ujumbe isingekuwa na sababu ya kuweka ushabiki kuliko uhalisia. TB Joshua ashinde siku zote kwa lowassa halafu leo hii mnasema eti hajiwezi. Kama lengo ni kumpongeza Magufuli mbona hakwenda sherehe ya kuapishwa kwake wakati alikuwepo ndani ya nchi/ Tanzania? cheki ulichoandika eti "Lowassa hakuwa akijiweza alihitaji ufariji"
 
Nilipenda sana kuangalia hii video ila nikaona imekaa kinafki na siasaa za maji taka. Kama lengo ni ujumbe isingekuwa na sababu ya kuweka ushabiki kuliko uhalisia. TB Joshua ashinde siku zote kwa lowassa halafu leo hii mnasema eti hajiwezi. Kama lengo ni kumpongeza Magufuli mbona hakwenda sherehe ya kuapishwa kwake wakati alikuwepo ndani ya nchi/ Tanzania? cheki ulichoandika eti "Lowassa hakuwa akijiweza alihitaji ufariji"

Nimetoa hilo neno mkuu ili utazame. Mimi sio mwanasiasa kivile.
 
Nilipenda sana kuangalia hii video ila nikaona imekaa kinafki na siasaa za maji taka. Kama lengo ni ujumbe isingekuwa na sababu ya kuweka ushabiki kuliko uhalisia. TB Joshua ashinde siku zote kwa lowassa halafu leo hii mnasema eti hajiwezi. Kama lengo ni kumpongeza Magufuli mbona hakwenda sherehe ya kuapishwa kwake wakati alikuwepo ndani ya nchi/ Tanzania? cheki ulichoandika eti "Lowassa hakuwa akijiweza alihitaji ufariji"
Mkuu tatizo lako ni maandishi kuyafanya kijan, lkn nakukubali mtanganyika halisi
 
I really want to go to his church! i have so many and i dont know where to start..I cant afford!
Satan is torturing me since childhood up to now
kuna ofisi zao ziko Dar zitakupa details zote. Ngoja waje utapata muongozo mzuri
 
I really want to go to his church! i have so many and i dont know where to start..I cant afford!
Satan is torturing me since childhood up to now

God never come late, we are just impatient.

I have been walking through the valley of the shadow of death for so long then suddenly through a man of God was delivered from that evil and dark forces and now I'm free.

Currently lucky is smilling at me like never before..and my healthy is super well, and I'm financilly stable.

Now I know God is working in way we can not see with our naked eyes. Thus I'm encouraging you to stay focused and determined and bare on your mind what you need is spiritual deliverance rather than psychological assistances. You can be healed even in Tanzania, hook me up I can link you to the river of deliverance.

Stay blessed!
 
Back
Top Bottom