Kwa Tanzania kuna watu wanaamini kuwa chama cha upinzani ni adui mkubwa kwao.
Tazameni hii picha chini jinsi wana ccm walivyo jiandaa kummaliza huyo kijana wa cdm hapo ni dodoma. View attachment 1467089
Andamaneni basi!Kwa Tanzania kuna watu wanaamini kuwa chama cha upinzani ni adui mkubwa kwao.
Tazameni hii picha chini jinsi wana ccm walivyo jiandaa kummaliza huyo kijana wa cdm hapo ni dodoma. View attachment 1467089
Unaakili kidogo sanaKati ya vitu vibaya na vya kuogopwa sana hapa duniani basi ni technology
Hukumu ya kutapeli watu billion 8.9 jeHukumu yao mbele ya mwenyezi mungu itakuwa ya kulia na kusaga meno
Ya zamani sana 2017 sijui!! Ndo umeiona leo au habar mbaya kwa Tz siku hizi hamna?
Nilijua utatukana kama ilivyo kawaida yako, ila nimegundua umekua sasaAkili na mikono uliyo tumia kuandika ni mali yako hakuna mtu wa kukulaumu
CCM wapole ukiwachokoza ndio utawajua .Mjomba wangu huyo wa mwisho kulia anayekuja mbio na munkari na tofali la uhakika Hadi raha najivunia mjomba.Hana mchezoKwa Tanzania kuna watu wanaamini kuwa chama cha upinzani ni adui mkubwa kwao.
Tazameni hii picha chini jinsi wana ccm walivyo jiandaa kummaliza huyo kijana wa cdm hapo ni dodoma. View attachment 1467089