Mawazo ni issue nyingine, vaa uhusika wa huyu jamaaHuyu jamaa angeuwawa kisa yuko chama tofauti na wewe, ungefaidika na nini? Au alivyouwawa Kamanda Alphonse Mawazo wewe umefaidika na nini?
Njia imefungwa?Mawazo ni issue nyingine, vaa uhusika wa huyu jamaa
Au tufanye hivi sisi chadema tuko mlimani city kama wote halafu nzi wa kijani mara kakatiza katikati hivi tutamwacha apite hivihivi?
Sasa hapo kamanda alichofanya ni uchokozi
Hii ya mwaka 2012. Wanatafuta huruma kwa wananchiYa zamani sana 2017 sijui!! Ndo umeiona leo au habar mbaya kwa Tz siku hizi hamna?