- Thread starter
- #21
Ebu nijuze bhasi we mjuziningetamani kama ungekuwa unajua unachokiandika. na siku ukijua utajiona mweupe sana upstairs
Ebu nijuze bhasi we mjuziningetamani kama ungekuwa unajua unachokiandika. na siku ukijua utajiona mweupe sana upstairs
Ilichokiandika kuhusu BRELA na TRA sicho kinachofanyika, that is historicalEbu nijuze bhasi we mjuzi
Kinachofanyika ni kipi ebu nielezeIlichokiandika kuhusu BRELA na TRA sicho kinachofanyika, that is historical
Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANIHamna bana, watanzania tunaendekeza sana anasa kwa mambo ya kijingajinga tu. Teknojia kwetu ni anasa baas. Tunapenda vitu vikubwavikubwa uwezo hatuna.
Tuna mapori makubwa so vast and virgin yako kibwerebwerere tu badala ya kwenda kuyaclear na kufanya shughuli za kilimo na ufugaji. Tunabakia kukimbilia anasa.
Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANI
Nadhani hili limekaa kinidhamu zaidi.Siku moja tulikuwa singida, kukawa kuna msafara gari zilisimamishwa, lakini pembeni kuna service road kama njia ya ng'ombe! Ambayo inakwenda kipande kirefu tu!
Jamaa mmoja akasema tupite njia hii ya ng'ombe ili kuokoa mda !
Polisi walitufuata huko huko kwenye njia ya ng'ombe na kuamuru tusubili msafara hadi upite, wakati msafara unapita juu kwenye lami, na sisi tulikuwa pembeni kabisa njia ya ng'ombe!
SawaNadhani hili limekaa kinidhamu zaidi.
Na wengine ni BANK... issue ndogo tu.. utaskia... NENDA TAWI ULILOFUNGULIA ACCOUNT... hapo upo Mtwara... Tawi ulofungulia lipo BIHARAMULO...
Ili kuprove hilo ungeanza na kutupa hiyo simu na kufuta account yako ya jf kama technology ni anasa.
Naomba kujua jinsia yako .... Kama ni Dada ndio unaongea hivi nakusamehe ila kama ni wakiume aisee hicho kizazi ulichonacho kiunoni unakwenda kukitesa bora ubaki na kichwa kuliko huo ubongo ulionao.... HAUNA THAMANI
Yaan wamekaririEbhana eeeeh hii inchi ina vituko. kuna account ya bank fulan nilifungulia Tanga. sasa nikahamia dodoma. sku moja nikatama kubadili namba yangu ya simbanking, nkaenda kwny bank yao.pale dodoma et wakanambia kubadili namba n lazma uende tawi ulilofungulia account!!!!asww nilimwangalia yule dada mpaka nikachoka ghafla.