OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,778
- 102,143
Hapa Jussa akiingia msibani kumuaga Maalim Seif. Inatia uchungu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto na Maalim hawana utu kabisa.
Usimlaumu maalimu, Zitto kala dili.Zitto na Maalim hawana utu kabisa.
Kwani Maalim alikuwa zezeta anapelekwa kama trela?Usimlaumu maalimu, Zitto kala dili.
Mazishi ya heshima??!!, ukifa umekufa hakuna Mazishi ya heshima.Nyie acheni uchochezi! Mwenyezi Mungu hupanga kila jambo, uchaguzi huu ndio ulikuwa uchaguzi wenye matokeo mabaya kabisa kwa Maalim Seif Sharif Hamad lakini akakubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa!
Angalia ameenda Chato kumwaaga Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Dr.Magufuli na aka pledge commitments zake kwake , na amewaacha Wazanzibar wamoja kabisa.
Angalia mazishi yake jinsi yanavyofanyika kwa heshima kubwa, fikiria tofauti kama angekufa akiwa mtu wa vurugu na kuzira kama CHADEMA walivyokuwa wakitaka!
Hivyo tukubali tu kuwa sisi ni binadamu na mwisho wetu aujuaye ni Mwenyezi Mungu!
Maalima Seif Sharif Hamad amepigana vita vitakatifu na amemaliza kwa heshima kubwa ( Life well lived).
Rest In Peace Maalim, Amen!
Kama sifa ya kulazimisha maridhiano ni ili mkifa mzikwe vizuri hata kam mtaachiwa vilema vya kudumu, hongereni.Nyie acheni uchochezi! Mwenyezi Mungu hupanga kila jambo, uchaguzi huu ndio ulikuwa uchaguzi wenye matokeo mabaya kabisa kwa Maalim Seif Sharif Hamad lakini akakubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa!
Angalia ameenda Chato kumwaaga Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Dr.Magufuli na aka pledge commitments zake kwake , na amewaacha Wazanzibar wamoja kabisa.
Angalia mazishi yake jinsi yanavyofanyika kwa heshima kubwa, fikiria tofauti kama angekufa akiwa mtu wa vurugu na kuzira kama CHADEMA walivyokuwa wakitaka!
Hivyo tukubali tu kuwa sisi ni binadamu na mwisho wetu aujuaye ni Mwenyezi Mungu!
Maalima Seif Sharif Hamad amepigana vita vitakatifu na amemaliza kwa heshima kubwa ( Life well lived).
Rest In Peace Maalim, Amen!
Ccm haijawhi kushinda Zanzibar. Tena Safari hii maalim seif alishinda kwa kishindo ila akanyanganywa tu. Fikilia vile vifaru vilikuwa vinafanya Nini na kwa Nini waliua wazenji wengi takribani laki moja ili kuwakandamiza wasidai ushindi wa seifNyie acheni uchochezi! Mwenyezi Mungu hupanga kila jambo, uchaguzi huu ndio ulikuwa uchaguzi wenye matokeo mabaya kabisa kwa Maalim Seif Sharif Hamad lakini akakubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa!
Angalia ameenda Chato kumwaaga Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Dr.Magufuli na aka pledge commitments zake kwake , na amewaacha Wazanzibar wamoja kabisa.
Angalia mazishi yake jinsi yanavyofanyika kwa heshima kubwa, fikiria tofauti kama angekufa akiwa mtu wa vurugu na kuzira kama CHADEMA walivyokuwa wakitaka!
Hivyo tukubali tu kuwa sisi ni binadamu na mwisho wetu aujuaye ni Mwenyezi Mungu!
Maalima Seif Sharif Hamad amepigana vita vitakatifu na amemaliza kwa heshima kubwa ( Life well lived).
Rest In Peace Maalim, Amen!
Huenda Zitto alikula hela ndefu pale, Isingewezekana Zitto aweke career yake ya kisiasa rehani bila kupenyezewa rupia ndefu, la Sasa angeishije, kazi hana na ana familia?. Kuna uwezekano mkubwa aliuza mechi yule kijana maana misimamo yake mara tu uchafuzi ule ulivyofanyika na kisha mwezi mmoja baadae ni misimamo miwili tofauti.
Hata Hivyo Maalim naye alikuwa Tamaa mbele mauti nyuma. Alisaliti aspiration za Wazanzibar kwa kukubali kuingia kwenye serikali iliyowekwa madarakani na Tanganyika, Kwa kufanya hivyo amefubaza ari na nia ya Wazanzibar kujikwamua kutoka kwente ukoloni huu!