Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,492
- 19,561
Kumbukeni Wantanzania wanyapori ni kiporo chetu cha mwisho kilicho baki bila kujali udini wetu, ukabila wetu, umasikini wetu, itikadi zetu na hata upagani wetu mkikubali na hiki wakiangamize basi KIZAZI CHETU KIMEANGAMIA, bila kujali udini wetu, ukabila wetu, umasikini wetu, itikadi zetu na hata upagani wetu !!!
Wamefagia madini sasa wanafagia hifadhi wakitoka hifadhini watakuja kwako!! UTUMWA WA FIKRA HURITHISHA TAIFA UMASIKINI NA UMASIKINI HURITHISHA UTUMWA WA FIKRA KWA TAIFA!! Tafakari chukua hatua!!!
Wamefagia madini sasa wanafagia hifadhi wakitoka hifadhini watakuja kwako!! UTUMWA WA FIKRA HURITHISHA TAIFA UMASIKINI NA UMASIKINI HURITHISHA UTUMWA WA FIKRA KWA TAIFA!! Tafakari chukua hatua!!!