Unaona sasa... kumbe kweli ulini-miss halafu husemi kwamba ulini-miss! Mwenzako ilikuwa nikiku-miss nakuja nakuchungulia, kisha huyoooo... kimya kimya, sikusemeshi wala sikuulizi ingawaje kuna siku ilibaki kidogo tu... nikaona wale waliokuwa wanashuhudia picha la Kihindi wanaweza kushitukia, kwamba eh, kumbe Amitabh Bachchan!!Hahahahaaaa uwiiiiiiii!Ujue nimecheka sana!Nilikua najiuliza huyu mtu kaenda wapi?
Mbona huyu chige anafanana kimtazamo naye?
Nikagundua ndio wewe,wewe!