Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,813
- 18,793
Kwenye kurudi nyuma inakuwaje hilo la nyumaHapo tumeweka sumaku kwenye gari kwa mbele huku sumaku nyingine ikiwa kwa mbele hapo kuivuta hilo gari
Gari inakuwa inajivuta yenyewe...wadau mnasemaje?
View attachment 1078554
Hapo tumeweka sumaku kwenye gari kwa mbele huku sumaku nyingine ikiwa kwa mbele hapo kuivuta hilo gari
Gari inakuwa inajivuta yenyewe...wadau mnasemaje?
View attachment 1078554
Reverse haina ila breki unazima hizo sumaku tu kwa umeme kama hujui kina sumaku zinazimwa kwa umemeReverse inakuaje mkuu + breki
Kuona mbele mbona ishu ndogo hapo mzee, kwani pamefunikwa pote?Na hayo madude utaonaje mbele kwa uzuri
Toa kasoro basiPombe za pasaka bhana
Toa kasoro basi
OkYaan naona hicho kirikuu kinatembea kabisaaa ngoja zikiisha pombe kichwan ntakuja na idea yangu
Petrol lazima itumike kwa gari itakayokuwa mbele ikiwa na sumaku A kwa ajili ya kuvuta hii ya nyuma yenye sumaku B.Hapo tumeweka sumaku kwenye gari kwa mbele huku sumaku nyingine ikiwa kwa mbele hapo kuivuta hilo gari
Gari inakuwa inajivuta yenyewe...wadau mnasemaje?
View attachment 1078554
Have you had any meal today?
Hata hatua moja haitasogea zaidi hizo sumaku zitakuwa zinakinzana tu hapo na na kama kusogea itakuwa inachezachezaHapo tumeweka sumaku kwenye gari kwa mbele huku sumaku nyingine ikiwa kwa mbele hapo kuivuta hilo gari
Gari inakuwa inajivuta yenyewe...wadau mnasemaje?
View attachment 1078554
HheheeHiyo gari haita sogea hata hatua moja mkuu. Njia bora kabisa ya kufanikisha zoezi unalotaka ni kuchukua fisi wawili wakubwa uwafunge mbele ya gari. Kisha ning'iniza mguu wa mbuzi choma mbele ya hao fisi kwa kutumia mti mrefu. Hakikisha fisi hawaufikii huo mguu kwahiyo watakua wanaukimbiza kwa kasi ya 180 km/h.
Tutaendesha na hayo mawinch?Mkuu, hapo gari haisogei
Ukitaka kuhakikisha hilo kajaribishe kwenye kigari cha kuchezea watoto
Sijui namna gani rahisi ya kukuelewesha ila
Kuna kanuni moja ya Newton inasema body will remain at rest or in motion if there is no EXTERNAL force actin on it
Kitu kitabaki kimesimama au katika mwendo endapo hakuna kani kutoka nje inayokilazimisha kisogee au kisimame
Hapo kati ya hizo sumaku kuna kani ya uvutano ila hilo gari halitasogea kwa sababu sumaku zote zipo ndani ya hilo gari, yaani kuna force ila sio EXTERNAL force, zote zipo within hilo gari....
Labda lingesogea endapo sumaku moja ingekuwa nje ya gari kabisa, labda kwenye gari jingine au ukutani, hapo force ingekuwa ni external na gari lingesogea kama sumaku zingekua na nguvu ya kutosha